ACHA KUKIMBIA MAJUKUMU AISEE IVI HUYO MTOTO USIPOMSAIDIA WEWE BABA YAKE UNATAKA ASAIDIWE NA NANI ????Siku hizi shule nyingi za Serikali msingi na sekondari hasa za kutwa walimu wanawafanyisha wanafunzi mitihani kila baada ya siku 3 na wanalipa 1200 au zaidi.
Hivi kila baada ya siku tatu kipi kipya wanakuwa wamefundisha watoto mpaka wawafanyishe mitihani?
Hivi kufanya mitihani kila mara ni kipimo cha uelewa?
Ni kweli maslahi yenu ni madogo lakini msichukulie sababu yakufanya uhuni,hata kama maslahi madogo hakuna mtu aliwachagulia hiyo kazi.
Tuliosoma shule za Serikali ilitulazimu kutumia muda wa likizo kusoma Tuition.Mimi wanangu masomo ya ziada hawajawahi kusoma,nini maana ya likizo?,likizo akirudi ni kazi za hapa na pale,kula kucheza kulala,kama anasoma ni vitabu vingine au magazeti nk
Hapo sawa, walau ingekuwa kila WeekMi silalamikii pesa wanazotoza, naangalia relevance ya interval ya mitihani
Kweli hili limekuwa shida hasa Dar es Salaam.Siku hizi shule nyingi za Serikali msingi na sekondari hasa za kutwa walimu wanawafanyisha wanafunzi mitihani kila baada ya siku 3 na wanalipa 1200 au zaidi.
Hivi kila baada ya siku tatu kipi kipya wanakuwa wamefundisha watoto mpaka wawafanyishe mitihani?
Hivi kufanya mitihani kila mara ni kipimo cha uelewa?
Ni kweli maslahi yenu ni madogo lakini msichukulie sababu yakufanya uhuni,hata kama maslahi madogo hakuna mtu aliwachagulia hiyo kazi.
Upo sahihi MkuuLakini mitihani na crash za kutosha zipo,,uliongelea special schools bahati mimi advance nilisoma hizo shule hizo fitness hapana,paper tulikuwa tunapiga kwa sababu ya assessment tu,hata madogo wa K leve ilikuwa hivyo lakini tulikuwa hatulipishwi,,sisi tulilipa pesa kwa makubaliano na walimu kwa mfano mada za physics ni nyingi mno ukilingajisha na muda wa kawaida wa kipindi hivyo tunaongea na ticha atenge muda maalumu kwa ajili yaku cover topics nyingine ili tuendane na muda
Sasa mkuu hutaki watoto wapate mazoezi, ata wanamichezo lazima wapate mechi za majaribio ili kukuza kipaji na kujifunza makosa tena nawashauri wakuu wa shule wawapeleke shule jirani kushindani kimasomo ili kuwajengea umakini na kujihami watoto na kujenga urafiki.Siku hizi shule nyingi za Serikali msingi na sekondari hasa za kutwa walimu wanawafanyisha wanafunzi mitihani kila baada ya siku 3 na wanalipa 1200 au zaidi.
Hivi kila baada ya siku tatu kipi kipya wanakuwa wamefundisha watoto mpaka wawafanyishe mitihani? Hivi kufanya mitihani kila mara ni kipimo cha uelewa?
Ni kweli maslahi yenu ni madogo lakini msichukulie sababu ya kufanya uhuni, hata kama maslahi madogo hakuna mtu aliwachagulia hiyo kazi.
Kama watoto wako hawasomi huko wewe kinakuwasha nini haswaaaa?Mimi kwanza wanangu hawajawahi kusoma huko ,na hiyo 1300 si kitu kwangu,nazungumzia lengo la wao kutoa mitihani si watoto wafanye mitihani bali mchongo wakupata pesa,imagine hata kufanya masahihisho ya mtihani wanataka pesa tena
[emoji23][emoji23][emoji817]mpwayungu village's cousine
Asa mbona unalalama kwa mambo yasiyo kuhusu mkuuMimi kwanza wanangu hawajawahi kusoma huko ,na hiyo 1300 si kitu kwangu,nazungumzia lengo la wao kutoa mitihani si watoto wafanye mitihani bali mchongo wakupata pesa,imagine hata kufanya masahihisho ya mtihani wanataka pesa tena
Afadhali hao kila baada ya siku tatu hapa shule ya Mzinga ni kila siku wanafanya mtihani kwa gharama ya shilingi 200 mpaka 500Siku hizi shule nyingi za Serikali msingi na sekondari hasa za kutwa walimu wanawafanyisha wanafunzi mitihani kila baada ya siku 3 na wanalipa 1200 au zaidi.
Hivi kila baada ya siku tatu kipi kipya wanakuwa wamefundisha watoto mpaka wawafanyishe mitihani? Hivi kufanya mitihani kila mara ni kipimo cha uelewa?
Ni kweli maslahi yenu ni madogo lakini msichukulie sababu ya kufanya uhuni, hata kama maslahi madogo hakuna mtu aliwachagulia hiyo kazi.
Huku kun hadi watunga na wasimamia sera ya elimu inaweza ikawa ni jukwaa bora zaidi la kufikisha ujumbe na ukafanyiwa kazi.Sasa walimu unakaa nao mtaani kwako,unakuja kutuambia sisi huku...
Hivi unadhani walimu watatajirika na hicho kibuku chako unachotoa?
Mkuu walimu wanamaisha magumu sana hyo buku haiwafikishi popote...
Na wewe si ulichagua mwenyewe kumpeleka mwanao st kayumba sababu ya umasikini wako, peleka mwanao feza schools uone kama utachangishwa hiyo michango.Hayatuhusu si maisha yao, sasa wanataka watupelekeshe sisi? Si walichagua wao wenyewe kuwa walimu?
Hawana per diem wala Extra duty waacheni na wao wajipatie chochote kitu.Siku hizi shule nyingi za Serikali msingi na sekondari hasa za kutwa walimu wanawafanyisha wanafunzi mitihani kila baada ya siku 3 na wanalipa 1200 au zaidi.
Hivi kila baada ya siku tatu kipi kipya wanakuwa wamefundisha watoto mpaka wawafanyishe mitihani? Hivi kufanya mitihani kila mara ni kipimo cha uelewa?
Ni kweli maslahi yenu ni madogo lakini msichukulie sababu ya kufanya uhuni, hata kama maslahi madogo hakuna mtu aliwachagulia hiyo kazi.
Kwani usipotoa mwanao atafukuzwa shule?Hayo nayo ni mahitaji? Au ni ulaghai? Walimu mnakuwa viumbe wa hovyo sana
Kwaiyo unataka wasimalizie kujenga?Mradi mzuri huo....kama shule ktk kila kidato ina wanafunzi 500 tu.. kwa wiki ukipiga hesabu 1200*3... Kwa mwezi unapata unapata 3600*500*4 ambayo ni Milioni 7.2. Ukitoa gharama halisi za kuchapicha hiyo mitihani hazizidi laki 5....
Walimu wanabaki na faida ya shilingi milioni 6 kwa mwaka sio chini ya milioni 50. Wakigawana hapo kila mtu anaenda kumalizia ujenzi wa nyumba yake.
Walimu oyeeeeeeee!!!!