TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
- Thread starter
-
- #141
Kama ni kweli nadhani ni kwasababu wanajua walimu mnadhiki hivyo kudai haki za msingi kwenu ni dhambiWewe unajua serikali inatoa shklling ngapi ya capitation fee kwa kila shule kwa mwezi, hata haiwezi kununua ream za mitihani wa mhula.
Acha kukalili matter core wewe,kwamba kupenda mitihani ndio kua na akili? Au ndio umbumbumbu pro maxSasa kama mzazi mwenyeww ndio wewe na hupendi mwanao afanye mitihani hivi unadhani mwanao ndio atapenda mitihani? Kweli kilaza huzaa kilaza
Kwa bahati mbaya sina mtoto anayesoma huko,hata hivyo nazidisha hiyo kiasi ya miezi 8 mara 8,weka namba nakutumia ukale kitimoto na JohnsonKwa kweli, huwezi kulalamika kwa jambo muhimu kama hili unless Mzazi pia awe hapendi shule.
Najitolea kwa mtoa mada akishindwa kumlipia kijana wake hiyo 4,800 kwa mwezi ili afanye hiyo mitihani basi nipo tayari kumlipia miezi yote 8 iliyobaki.
Kwani hawalipwi mshahara?Kama mmesema elimu bure,..walimu mnataka wakale wapi?...
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Hata lafudhi yangu mimi ni kizungumkuti,japo sina affiliation yeyote na na venecular,,hivyo kiswahili kwangu badomsiijui ipasavyoNi shughuli sio shughuri
Hawawezi kuelewa hawa watu,au like somo la ujasiriamalinwalifundishwa wafanye hivi itakuwaKila baada ya siku 3 test huo ni uhuni na njaa tu, weekly test angalau huwa zinamake sense.
Walimu acheni kuendekeza hizo njaa ndogo ndogo!
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Sasa wanasoma vipindi vya kawaida saa ngapi?,,khaaa,,walimu wamekuwa watu wa michongo sana nowdaysAfadhali hao kila baada ya siku tatu hapa shule ya Mzinga ni kila siku wanafanya mtihani kwa gharama ya shilingi 200 mpaka 500
Hawasomi huko wananguNa wewe si ulichagua mwenyewe kumpeleka mwanao st kayumba sababu ya umasikini wako, peleka mwanao feza schools uone kama utachangishwa hiyo michango.
Ni suala la kijamii sio la mama Mwajuma na Bada Dullah tu hivyo tutasemaAsa mbona unalalama kwa mambo yasiyo kuhusu mkuu
Tuache sie tunao somesha watoto huko ndo tulalamike
Ata ivo hatujaona tatizo lolote ndo maana tupo kimya
Tatizo dhiki wameziendekeza halafu na wivu wakijinga,sasa imagine mfano yule akamtia kisu mwenzale kisa nafasi ya uongozi,kuna nafasi gani ya uongozi huko ambayo inapaswa kugombaniwa?Tatizo waalimu wengi hawana ubunifu na wenye ubunifu wanapigwa majungu hivyo wanaamua kuendana na mfumo unavyowapelekesha
Advance haikwepeki,najadili sana hapa O'level na primaryTuliosoma shule za Serikali ilitulazimu kutumia muda wa likizo kusoma Tuition.
Unakuta mna topic 12 kwenye somo la Physics lakini hadi mnafunga shule mwezi December unakuta mmefundishwa Topic 5 tu, kwahiyo Tuition haiepukiki
Kwani analishwq nq nqni,anavishwa na nani,? Huu wizi nao unakuwa kwenye sifa yakuwa majukumu,au ni kutake advantages?ACHA KUKIMBIA MAJUKUMU AISEE IVI HUYO MTOTO USIPOMSAIDIA WEWE BABA YAKE UNATAKA ASAIDIWE NA NANI ????
KAMA ULIKUWA UNAJIJUA HUNA UWEZO WA KUTIMIZA MAJUKUMU YA MTOTO KWANINI ULIKIMBILIA KUZAA
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
WellWazazi wenye akili mgando, mwanao anafanya mitihani anapata sharpness na kuzoea mitihani mzazi analalamika.
Tutafte pesa kwa bidii wanajamii forum wenzangu, sasa sijui hio 1300 kwa mwezi hata elfu 10 haifiki ndo kitu Cha kulalalama tena kwenye elimu ya mwanao? Kila mtu anajua anakula vipi kazini kwake, sioni tatizo walimu wakipata chochote kitu ilhali wanasaidia wanafunzi.
Msione Kila siku kemebos sijus st Francis wanaleta division 1 cream mnalalamika sijui wanaiba mitihani, Hawa watoto wanafundishwa haswa na wanaofanya mitihani Kila wiki, hata kama wanafanya ujanja bado ni kuwaboost wanafunzi ambao wapo sharp, mitoto kama ya taifa sekondari hata ukiyapa mitihani inayofanya kesho ilale nayo bado Kuna mingine itafeli tu, maana unakuta hata English changamoto.
Wazazi tuachane kulalama Dunia imebadilika , mnalia Lia hizo elf 10 kwa mwezi wakati nursery watu wanalipa zaidi ya milion 2 kwa mwaka, shauri yenu na watoto wenu bana.
Nimesahau kitu, PUMBAVU!
Kijana acha wivu tafuta hela! Au hujaiona report ya cag kuna mabilion yanatafunwa huko ww umekazana kuandika thread za buku mia mbil za walimu[emoji23][emoji23][emoji23]Kwani analishwq nq nqni,anavishwa na nani,? Huu wizi nao unakuwa kwenye sifa yakuwa majukumu,au ni kutake advantages?
Halafu ukiitwa mpumbavu unakasirika hivi huoni kila mtu humu anakuonaAcha kukalili matter core wewe,kwamba kupenda mitihani ndio kua na akili? Au ndio umbumbumbu pro max
Basi tufanye ukipata mtoto anayeshindwa kumudu kulipia gharama za hiyo Mitihani nijulishe ili tumlipie. Lengo ni kuona huyo mtoto anafauru mitihani yake ya mwisho.Kwa bahati mbaya sina mtoto anayesoma huko,hata hivyo nazidisha hiyo kiasi ya miezi 8 mara 8,weka namba nakutumia ukale kitimoto na Johnson
Kwa Primary ni sahihi wao kupumzika wakati wa likizo ila upande wa O'level inawalazimu kutumia muda wao wa likizo kujisomea Tuition ili kuweza kufauru hasa Wanafunzi wanaosoma shule za Serikali.Advance haikwepeki,najadili sana hapa O'level na primary
Traffic anakula za dereva, TRA. Anakula za walipa kodi, wabunge wanakula za vikao+rushwa za kamati, Ardhi wanakula za hati, kodi ya ardhi n.k walimu acha wale hizo 5000 Kila wiki, otherwise Baki na mtoto wako asifanye hiyo mitihani kwani lazima?Siku hizi shule nyingi za Serikali msingi na sekondari hasa za kutwa walimu wanawafanyisha wanafunzi mitihani kila baada ya siku 3 na wanalipa 1200 au zaidi.
Hivi kila baada ya siku tatu kipi kipya wanakuwa wamefundisha watoto mpaka wawafanyishe mitihani? Hivi kufanya mitihani kila mara ni kipimo cha uelewa?
Ni kweli maslahi yenu ni madogo lakini msichukulie sababu ya kufanya uhuni, hata kama maslahi madogo hakuna mtu aliwachagulia hiyo kazi.