Ili likija suala la demkrasia na haki sawa mnasema sio kila kitu cha kuiga ulaya, acheni hizo.Haya mambo yanafanyika hata ulaya
Kesho kunafanyika maadhimisho ya wiki ya Usalama barabarani mkoani Arusha ambapo mgeni rasmi ni Rais Samia Suluhu Hassan.
Katika kuhakikisha shughuli hiyo inafana, walimu wote wa shule za sekondari na msingi Arusha, wameagizwa kwenda kuhudhuria bila kukosa shughuli hiyo.
Walimu pekee ambao hawatatakiwa kwenda ni wale wanaosimamia mitihani ya kidato cha nne inayoendelea.
My take:
Naona ni impact ya wananchi wa chini wakiwemo machinga kutokumsapoti mama, hivyo wakaona uwanja unaweza ukawa mtupu
Kwa lazima mkuuKwa hiyari au lazima?
Huyo mama ni nyota ya mavii abebeki huwa nacheka sana kusikia wapumbavu wa chama chake wakitaka kumnadi kama mgombea uraisi 2025Kesho kunafanyika maadhimisho ya wiki ya Usalama barabarani mkoani Arusha ambapo mgeni rasmi ni Rais Samia Suluhu Hassan.
Katika kuhakikisha shughuli hiyo inafana, walimu wote wa shule za sekondari na msingi Arusha, wameagizwa kwenda kuhudhuria bila kukosa shughuli hiyo.
Walimu pekee ambao hawatatakiwa kwenda ni wale wanaosimamia mitihani ya kidato cha nne inayoendelea.
My take:
Naona ni impact ya wananchi wa chini wakiwemo machinga kutokumsapoti mama, hivyo wakaona uwanja unaweza ukawa mtupu
Haya mambo yanafanyika hata ulaya
Kwahiyo hautaki Waalimu wakaonane na Mwajiri wao? Sasa shida zao watampa nani kama wakimkwepa Mwajiri?
Juz kaja mwanza bugando, muda mfup tu katimua. hakulala ata siku moja. Jion tukasikia yuko Zanzibar. Kwann alifanya hvyo?, Kwsbb anajua kinacho endelea ndan ya mioyo ya watu....Kesho kunafanyika maadhimisho ya wiki ya Usalama barabarani mkoani Arusha ambapo mgeni rasmi ni Rais Samia Suluhu Hassan.
Katika kuhakikisha shughuli hiyo inafana, walimu wote wa shule za sekondari na msingi Arusha, wameagizwa kwenda kuhudhuria bila kukosa shughuli hiyo.
Walimu pekee ambao hawatatakiwa kwenda ni wale wanaosimamia mitihani ya kidato cha nne inayoendelea.
My take:
Naona ni impact ya wananchi wa chini wakiwemo machinga kutokumsapoti mama, hivyo wakaona uwanja unaweza ukawa mtupu
Aweteue basi kwenye uongozi wake....bila kuwatea akaendelea kuteua kutoka visiwani (Zanzibar) na kanda ya Pwani hayo ni maigizoMama na kaskazini...kaskazini na Mama..
Huu upuuzi kumbe bado unaendelea?Kesho kunafanyika maadhimisho ya wiki ya Usalama barabarani mkoani Arusha ambapo mgeni rasmi ni Rais Samia Suluhu Hassan.
Katika kuhakikisha shughuli hiyo inafana, walimu wote wa shule za sekondari na msingi Arusha, wameagizwa kwenda kuhudhuria bila kukosa shughuli hiyo.
Walimu pekee ambao hawatatakiwa kwenda ni wale wanaosimamia mitihani ya kidato cha nne inayoendelea.
My take:
Naona ni impact ya wananchi wa chini wakiwemo machinga kutokumsapoti mama, hivyo wakaona uwanja unaweza ukawa mtupu