Kwani somo ndo linalokuhamisha?? Au ulitka tujue ww ni mwalimu wa biology.....acha ulimbukeninahitaji mwl wa secondary anaefundisha somo la biology aje mbeya vijijin mm niende iringa au morogoro
alafu kama ww ni limbukeni usinilinganishe namm na zaidi sikuhusu hunihusu kama ww unaona kufundisha somo unalofundisha ndo sifa basi jua ni sifa za kijinga mkuu wng wa kituo kanizuia kuhama kwakua napata watu wa somo tofauti na ninalofundisha msiwe mnakuja na stress kureply yasiyowahusuKwani somo ndo linalokuhamisha?? Au ulitka tujue ww ni mwalimu wa biology.....acha ulimbukeni
[emoji119] [emoji119] [emoji112]
Makavu liveKwani somo ndo linalokuhamisha?? Au ulitka tujue ww ni mwalimu wa biology.....acha ulimbukeni
[emoji119] [emoji119] [emoji112]
niko usariver arusha ..natafuta mtu wa kubalishana nae mkia pwani… bagamoyo mlandizi na kibaha
ualimu sekondari.. ila chalinze hapanaidara gani? weka contact kuna mtu yupo chalinze nkuonganishe nae
Mwambie aje kigoma-UVINZA mimi nije MTWARA.Njoo Masasi Mtwara mdogo wangu aje Kigoma wilaya yeyote. Idara msingi
nipo Moshi nije Chalinze idara ya secondary 0658825141 Mwambie antext fasteridara gani? weka contact kuna mtu yupo chalinze nkuonganishe nae
nipo Moshi nije Chalinze idara ya secondary 0658825141 Mwambie antext faster
Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
Mwambie aje kigoma-UVINZA mimi nije MTWARA.
Tuwasiliane;
0786-172992