Mkibadilishana, mnahama lini kwani?
sekondariMile Niko tanga jiji nitafute 0713841863
Mimi Niko tanga jiji nataka kuja kibaha Kama vipi nitafuteIdara gani??
SekondariMimi Niko tanga jiji nataka kuja kibaha Kama vipi nitafute
Unamanisha nn mkuunyanoko
Hivi hizi barua zinapitishwa kweli kwenye halmashauri zenu ?? Au mnakutana na majibu gani huko? Maana sina hakika kama kuna barua ya uhamisho itapitishwa kwa sasa.Njoo manspaa Dodoma nije mwanza ilemela au nyamagana au dar wilaya yeyote mawasiliano 0752246075