Mie siyo mwalimu ila mdogo wangu yupo bunda mjini shule ya msingi ipo mjini kabisa anataka mtu yeye aende, meru dc, hai dc, babati, moro mc, dodoma mc au rombo kama kuna mtu anataka aje pm nitawaunganisha.
 
Jamani pia kuna nesi yeye yupo Mbinga anataka kuja Mwanza kwa mwenye msaada please tuwasiliane 0624514232
 
Nimelenga moshi nina maana yangu mkuu pale nina kakibanda kangu ka urithi mkuu
 
Nipo Kilimanjaro idara ya secondary natafuta Mwl wa kubadilishana naye idara ya secondary au aliyekuwa secondary akashushwa kwenda msingi anayetokea iringa aje Kilimanjaro
 
Nipo Kilimanjaro idara ya secondary natafuta Mwl wa kubadilishana naye Kituo cha kazi idara ya secondary au aliyekuwa secondary akashushwa msingi anayetokea iringa aje Kilimanjaro.

Tuwasiliane: 0783327999
0712253473
 
Jaman natafuta mwl wa sekondar tubadilishane aje arusha longido mie niend mby. 0787 055538
 
Nipo Kilimanjaro idara ya secondary natafuta Mwl wa kubadilishana naye Kituo cha kazi idara ya secondary au aliyekuwa secondary akashushwa msingi anayetokea iringa aje Kilimanjaro.

Tuwasiliane: 0783327999
0712253473
Njooo 0759007829
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…