Mkuu nimeku PM tafadhali naomba nambaHivi inachukua muda kuweza kuhama , baada ya kuajiriwa (waajiriwa wapya) natamani kuhama nipo Dar es salaam , nataka kwenda Morogoro mjini !
Hahaha mkuu umeweka nyumba ya niniNjoo Kigoma, Wilaya ya Kasulu mjini
Idara ya Elimu Secondary
Nije
Dar es salaam,Tanga,Morogoro au Pwani Wilaya yeyote Ile.
Mawasiliano ni. 0786538767/0652180400View attachment 2193512
Ili kuonesha masisitizo kuwa Nataka kuhama huku kasulu. Nije, Pwan,Tanga,morogoro,au DarHahaha mkuu umeweka nyumba ya nini
Ukimpata nakupa 500kNatafuta mwalimu wa kubadilishana naye aje Halmashauri ya wilaya ya Tarime Mimi Nije Dar es salaam special education.
Ok. Kasulu mjini. Njoo mm nije Handeni apo.Njoo Handeni Tc - Tanga
Idara - Sekondari
Njoo Kasulu mjini. Nije Tanga apo mkuuNjoo mkoa wa TANGA mie nije mkoa wa MARA .idara elimu sekondari.
Njooo Kigoma wlaya ya Kasulu mjini.nije TangaNjoo mkoa wa TANGA mie nije mkoa wa MARA .idara elimu sekondari.
😀😀😀😀Mkuu andaa hiyo 500k, naamini atapatikana tu.Ukimpata nakupa 500k