Kwa niaba anatafuta mtu wa kubadilishana kituo cha kazi aje geita wilaya ya mbogwe yeye aende tanga wilaya yoyote idara msingi
07191512715
 
TANGAZO TANGAZO TANGAZO

NJOO KIGOMA MANISPAA MJINI KABISA NIJE

🛑CHALINZE/KIBAHA
🛑MOROGORO MC/GAIRO/KILOSA
🛑BABATI/MAGUGU
🛑SINGIDA MC
IDARA: SECONDARY

MASOMO: PHYSCS NA CHEMISTRY

0757590836

SHARE AS YOU CAN
 
Njoo Dodoma Kongwa nije Mkoa wa Tanga(Tanga mjini, Korogwe, Muheza nk) au Mkoa wa Pwani(Wilaya yoyote)
Idara ya Sekondari Masomo Physics na Chemistry.
 
Kwa niaba anatafuta mtu wa kubadilishana kituo cha kazi aje geita wilaya ya mbogwe yeye aende tanga wilaya yoyote idara msingi
07191512715
 
Dah! Mm nmepambana mke wangu apate uamisho tangu mwaka 2010, nashukuru Mungu nilikutana na kiongozi mkubwa ndan ya CCM mwezi uliopita amenisaidia bila hata sent mpk leo hii barua ya umamisho imetoka...
 
[emoji872][emoji872]TUBADILISHANE KITUO CHA KAZI

njoo LINDI liwale, NIJE
1.MWANZA /NYAMAGANA
2.GEITA
3.MKURANGA
4.DODOMA
5.CHALINZE
6.BAGAMOYO
7.PWANI
8.KIBITI
9.IKWIRIRI

Idara ya elimu msingi
0787076174
0624555318

🪢🪢🪢🪢🪢🪢🪢🪢🪢
 
Habari zenu ndugu zangu natafuta mtu wa kubadilishana nae kituo cha kazi aje Mbulu DC Manyara Mimi niende Dodoma wilaya yoyote(Chamwino,Kongwa,Bahi,Kondoa,Chemba,Dodoma city)

Idara Elimu Secondary, ahsanteni

Masomo Mathematics and ICT
[emoji338] 0620116498
0739116498
 
Waalimu salamu ziwe nanyi.
Nina Mdogo wangu ni Mwalimu sekondali
Amepangiwa Songea, anahitaji kurudi Arusha.

Tuna uhitaji saaana wa kurudi Arusha, kwani ndiko alikowekeza biashara zake kabla hajapata ajira.

Nicheki inbox tuzungumze mambo mazuri kuhusu kubadilishana Kituo.
 
QUOTE]Habari zenu waalimu nina Dada angu ni mwalimu sekondari anahitaji wa kubadilishana kituo cha kazi yupo moshi mwika anataka maeneo ya pwani, iringa,morogoro, dar es salaam na lindi sehemu yoyote anafundsha history na kiswahil mawasiliano 0782582629
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…