Njoo rufiji msafiri sekondari, saa moja na nusu toka mbagala na along main kilwa road, idara ya sekondari kama upo manyoni, nahitaji manyoni only pm tafadhali
 
Ninatafuta mwalimu idara ya sekondari anayetokea manyoni aje rufiji, msafiri sekondari saa moja na nusu toka mbagala rangi Tatu, uwe unatokea manyoni pekee, ni pm tuongee tafadhali
 
Njoo rufiji msafiri sekondari, saa moja na nusu toka mbagala na along main kilwa road, idara ya sekondari kama upo manyoni, nahitaji manyoni only pm tafadhali

endapo ungekuwa unataka kuja iringa kilolo. ningefurahi.
 
 Kwa mwalimu yeyote wa sekondari aliye mkoa wa mbeya wilaya yeyote ile anayetaka kuja wilaya ya kwimba-mwanza, naomba uni "pm" au tuwasiliane kwa namba zifuatazo:

0759 92 98 61 au 0763 24 36 24

au 0788 98 35 97
 
Hiv jamn kibal cha uhamisho unaomba mwenyewe au unaombewa na katibu tawala?
 
Nenda<njombe, aje hai


Karagwe(kayanga) bugene=

Bukoba<mjni >

ShinyangA mjni,

Machane (kilimanjaro) 0712043374,0752001385
AtawaungANIsha
 
Mwl idara msingi nipo Halmashauri ya Lindi natafuta Mwl wa kubadilishana nae kutoka Tanga-Korogwe,Pwani-Kibaha,au Moro..0658001368..
 
Mwl idara msingi nipo halmashauri ya lindi natafuta mwl wa kubadilishana nae kutoka Tanga-korogwe,Pwani-Kibaha au Moro..0658001368
 
Mwalimu njoo kilimanjaro wilaya ya rombo nije mwanza wilaya ya magu,misungwi,ilemela au nyamagana niko serious nitafute tuanze mchakato january tuhame,contact 0769 737386.mjulishe na mwenzio tusaidiane idara ya secondary.
 
&#65532; Kwa mwalimu yeyote wa sekondari aliye mkoa wa mbeya wilaya yeyote ile anayetaka kuja wilaya ya kwimba-mwanza, naomba uni "pm" au tuwasiliane kwa namba zifuatazo:

0759 92 98 61 au 0763 24 36 24

au 0788 98 35 97
 
Idara ya msingi njoo kasulu mjini nije mikoa ya kaskazini wilaya yoyote.
Arusha. Kilimanjaro. Manyara mwenye utayar niPM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…