Mi ni mwalimu wa sekondari nipo halmashauri ya Geita natafuta mtu wa kubadilishana mi niende Iringa mjini yeye aje Geita. nina miaka 3 kazini details zote ninazo.
 Kwa mwalimu yeyote wa sekondari aliye mkoa wa mbeya wilaya yeyote ile anayetaka kuja wilaya ya kwimba-mwanza, naomba uni "pm" au tuwasiliane kwa namba zifuatazo: