Kwa mwalimu yeyote wa sekondari aliye mkoa wa mbeya wilaya yeyote ile anayetaka kuja wilaya ya kwimba-mwanza, naomba uni "pm" au tuwasiliane kwa namba zifuatazo:
anae hitaji kubadilishana njoo wilaya ya uvinza mkoani kigoma,idara ya elimu sekondari nije mikoa ifuatayo:
1.TANGA
2.MOROGORO
3.KILIMANJARO
4.arusha
0759294715