Mi ni mwalimu idara ya secondari naomba kubadilishana kituo cha kazi mimi nije mbeya;pwani wilaya yeyote; tanga na arusha na yeye aje biharamulo kagera shule iko kwenye juction ya kwenda rwanda na bukoba kilometa 30 mpaka biharamulo mjini number yangu ni 0764841249
Daah Moro town pana competition mnooo!!!Wengi sana wanapapenda!!
Nakumbuka hata kipindi tupo chuo tunajaza mikoa tunayotaka kufanya kazi wengi saana waliichagua Moro!!
Mara nyingi mabadiliko hua ni
Moro town to dar
Mwanza mjini(ilemela/nyamagana) to Moro..
Aendelee tu kutafuta hivyohivyo .asikate tamaa...
Mipia bado nafayt daily I hop one day nitafanikisha tu...
niko wilaya ya mpwapwa nahitaji kubadilishana na mwalimu wa manispaa ya dodoma au wilaya ya chamwino idara ya msingi. MAWASILIANO 0712714371, 0686676246
mwalimu yeyote anayohitaji kubadilishana yeye aje mpwapwa mimi niende dodoma mjini au wilaya ya chamwino(idara ya msingi) mawasiliano 0712714371 ,0686676246