Mimi ni Mwalimu wa Sekondari nipo Mtwara wilaya ya Tandahimba natafuta Mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kazi katika mkoa wa Pwani, Morogoro au Kilimanjaro. (0717 10 10 55)
Kuna rafiki yangu anatafuta mtu wa kubadilishana naye! Yuko LIWALE-Lindi...anayetaka kwenda LIWALE, yeye aende morogoro,iringa, mbeya, pwani au dar-es-saalam (idara ya sekondari) mawasiliano 0656376607