Tutahama tu ipo cku but wajue ipo cku wataviachia hvo viti na vitakaliwa na wengneKwani standing order zinasemaje kuhusu mtumishi wa serikali kuhama?Sifa ulizonazo huhitaji kutafuta mtu wa kubadilishana naye,unatakiwa uombe kuhamia sehemu unayotaka kuhamia,kuna walimu wengi wanaoajiriwa hivyo kuondoka kwako hakuathiri chochote.Otherwise rushwa ndo inayotakiwa na siyo mtu wa kubadilishana.Maofisa wa elimu mafundi sana wa kubania Walimu wenzao kwenye maswala hayo,hapo comment zao huwa ndo hizo,kama mwalimu mwanamke lazima wamchojoe kwanza.Ila malipo hapa hapa,wengi wameathirika na wanakufa ile mbaya.
Hivooooooooooooooookwa yeyote anae tamani kujakwao au anae fuata familia yake na uhitaji wake ni mkoa wa Geita kutoka ktk mkoa was mwanza,Dodoma,arusha,morogoro pia Kilimanjaro Tafadhali tuwasiliane hapa hapa jf,kama hayakuhusu usipoteze mdawako kuchangia uzi huu, pia nesi anaetaka kwenda mbozi na yeye yuko mwanza na wilaya zake anishtue.
Njoo Chemba Mkoan DomNjoo tanga mwalimu wilaya ya kilindi nije moro wilaya ya kilosa idara ya msingi 0713281515