Nenda Kayanga sec karagwe(kagere) yeye aje Makambako mji. idara sec. mawasliano 0764124148, 0755066871.
 
Njoo TANDAHIMBA lindi nami nije tanga,kilimanjaro,morogoro idara msingi tuwasiliane kwa
no. 0652453576
 
Njoo kagera-kyerwa district council nije Tabora,ruvuma Na mpanda masiliano 0768802921
 
Mimi ni mwalimu wa sekondari, nafundisha wilaya ya same mkoa wa kilimanjaro. Natafuta mwl. Kubadilishana nae, aje same mimi niende morogoro, au pwani au dar. Kwa mawasiliano: 0718893304 au 0753235925
 
Mimi ni mwalimu nnayefundisha wilaya ya same mkoa kilimanjaro. Natafuta mwalimu wakubadilishana naye, yeye aje same mimi niende kati ya morogoro, pwani au dar, masomo yangu ni history na kiswahili, mawasiliano:0718893304 au 0753235925
 
Kuna mada ya uhamisho wa walimu iko sticky itafute utasaidika kwa haraka na wepesi
 
Fursa Fursa Fursa

Njoo tanga jiji fasta aje Moro manispaa.Idara sec.njoo Pm kimnyato tumalize mambo mapema.0713142568
 
Mimi ni mwalimu nnayefundisha wilaya ya same mkoa kilimanjaro. Natafuta mwalimu wakubadilishana naye, yeye aje same mimi niende kati ya morogoro, pwani au dar, masomo yangu ni history na kiswahili, mawasiliano:0718893304 au 0753235925
Una muda gani kituo unachotaka kuhama?
 
Nenda jukwaa la Elimu kule...kuna thread inayohusiana na kubadilishana vituo...
 
Kuna Mwl yupo Singida Manyoni anatafuta Mwl wa kubadilishana kituo Cha kazi kutoka mkoa wa Njombe na Ruvuma (Nyasa, mbinga, Songea mjini na vijijini) idara ya msingi.. 0689847054
 
Mimi ni mwlimu niko same-kilimanjaro, natafuta mwl. wa kubadishana nae, aje same, mimi niende kati ya morogoro, pwani au dar. Masomo yangu ni history na kiswahili. Mawasiliano: 0753235959/0718893304
 
Natafuta mbadala toka morogoro, pwani, au dar. Yeye aje same mkoa wa kilimanjaro. masomo yangu ni history na kiswahil: mawasiliano 0718893304/0753235925
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…