Natafuta Mwalimu wa kubadilishana nae.
Mimi n mwalimu wa secondary niliyepangiwa mkoani Tanga wilaya ya Lushoto, natafuta Mwalimu mwenzangu ambaye naweza nikabadilishana nae kutoka mkoa wa Dar-es-salaam wilaya yoyote ikiwemo mkoa wa bagamoyo pia.
Tafadhali naomba tuwasiliane kwa nambari hizi zifuatazo: 0713027219.

Naomba ushirikiano wenu wana jamiiforum,wadau na wana jamii wengine kwa ujumla.

ASANTE!
 
Natafuta Mwalimu wa kubadilishana nae.
Mimi ni Mwalimu wa sekondari niliyepangiwa mkoani Tanga wilaya ya Lushoto, natafuta Mwalimu mwenzangu ambaye naweza nikabadilishana nae kutoka mkoa wa Dar-es-salaam wilaya yoyote ikiwemo mkoa wa bagamoyo pia.
Tafadhali naomba tuwasiliane kwa sms hapa katika forum.
Naomba ushirikiano wenu wana jamiiforum na wana jamii wengine wote pia.

ASANTE!
 
NI MWALIMU IDARA YA SEKONDARI,NIKO MUHEZA (TANGA) NATAFUTA MWALIMU WA KUBADILISHANA NAE KITUO CHA KAZI KUTOKA WILAYA YA NACHINGWEA.

kwa mawasiliano kama uko tayari:-
-0686891941
-0789138138
-0718000667
 
NI MWALIMU IDARA YA SEKONDARI,NIKO MUHEZA (TANGA) NATAFUTA MWALIMU WA KUBADILISHANA NAE KITUO CHA KAZI KUTOKA WILAYA YA NACHINGWEA.

kwa mawasiliano kama uko tayari:-
-0686891941
-0789138138
-0718000667
 
Mwalimu wa Sekondari jijini Mwanza anataka kuhamia Mbeya. Anatafuta mtu wa Mbeya anayetaka kuhamia Mwanza ili wabadilishane
 
Habari wadau. Naitwa Mwl HUSSEIN SAID idara ya Secondary, niko Mkoani Njombe Wilaya ya Makete eneo la Ikonda centre. Natafuta mtu wa kubadilishananae aje huku niende mikoa ifuatayo:
1. Arusha
2. Kilimanjaro
3. Babati - Manyara
Mawasiliano.
0766 835725/0655 835725/0687 684805 Nahitaji ushirikiano wenu.
 
Njoo simiyu wilaya ya busega nije arusha kilmanjar tanga simanjiro longido babati mjini dar au moro
Niko idara ya msingi
 
njoo arusha longido mie niende mbeya. idara sekondari. 0787 055538.


pia kuna mwl yupo tabora anataka kurudi mby. idara sekondari
 
idara ya msingi njoo kaliua tabora ni karbu sana na kahama,mwanza,kigoma nije singida ,manyara ,tanga,kilimanjaro 0715217190
 
Kuna Mwalimu yuko Mara wilaya ya Butiama anataka mtu wa kubadilishana nae yeye aende mkoa wa Kilimanjaro wilaya yoyote
Yeye yupo idara ya Sekondari na ana muda mrefu TSD na nyaraka zote zipo.

Kwa mawasiliano zaidi tuma ujumbe wa pm nitamfikishia mlengwa!!

Asante!!
 
Natafuta mwalimu wa idara ya sec toka manispaa ya Dodoma anayetaka kuhamia manispaa ya BUKOBA kama yupo anitafte kwa namba 0765661749
 
Nenda Kayanga sec karagwe(kagere) yeye aje Makambako mji. idara sec. mawasliano0764124148, 0755066871.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…