Walimu/ lecturer wa kiume ndo chazo cha kuharibika kwa mtoto wa kike shuleni/chuo

Walimu/ lecturer wa kiume ndo chazo cha kuharibika kwa mtoto wa kike shuleni/chuo

Cute Msangi

Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
79
Reaction score
226
Hope ni wazima Wana Jf

Katika kila kundi la wanawake 10,lazima ukute wanawake 5 au 6 washawahi kufanyiwa sexual abuse na walimu wa kiume,Kuna shule sitaitaja nilisoma o level Kuna teacher wa English na alikuwa second master alikuwa na michezo michafu anakuita ofisini kwake Mara akushike shike story nyingi ataongea hapo za upuuzi tu,

Tulipeleka malalamiko yetu kwa mkuu wa shule haikusaidia kitu Kama alikuwa anamtetea na kutusema sisi wanafunzi wa kike tumeanza umalaya.i hate head master.

Ukiona binti yako aharibika chazo ni Hawa walimu wa kiume Wana tamaa Sana ya ngono kwa wanafunzi wao.

Sio wote wenye vitendo hivyo
 
Hope ni wazima Wana Jf

Katika kila kundi la wanawake 10,lazima ukute wanawake 5 au 6 washawahi kufanyiwa sexual abuse na walimu wa kiume,Kuna shule sitaitaja nilisoma o level Kuna teacher wa English na alikuwa second master alikuwa na michezo michafu anakuita ofisini kwake Mara akushike shike story nyingi ataongea hapo za upuuzi tu,

Tulipeleka malalamiko yetu kwa mkuu wa shule haikusaidia kitu Kama alikuwa anamtetea na kutusema sisi wanafunzi wa kike tumeanza umalaya.i hate head master.

Ukiona binti yako aharibika chazo ni Hawa walimu wa kiume Wana tamaa Sana ya ngono kwa wanafunzi wao.

Sio wote wenye vitendo hivyo
Aliyekutoa bikra bila kukuoa. Huyo ndo amekuharibu na kuua future yako yakupata Mwanaume smart

Lecture hawezi kuomba ngono kwa demu bikra anajua huyu bitch Basi nayeye anapita umo umo.


Wanaume hawakui kihisia ni kweli lakini ukikaa kimalaya lazima yakutokee then Chuoni Kuna wanafunzi let say 20k na lecture hawazidi hata 400 so unataka kusema wanawake wote mnaojiuza chanzo mlianza kutombwa na malecture ur logic is too sadic
 
Hope ni wazima Wana Jf

Katika kila kundi la wanawake 10,lazima ukute wanawake 5 au 6 washawahi kufanyiwa sexual abuse na walimu wa kiume,Kuna shule sitaitaja nilisoma o level Kuna teacher wa English na alikuwa second master alikuwa na michezo michafu anakuita ofisini kwake Mara akushike shike story nyingi ataongea hapo za upuuzi tu,

Tulipeleka malalamiko yetu kwa mkuu wa shule haikusaidia kitu Kama alikuwa anamtetea na kutusema sisi wanafunzi wa kike tumeanza umalaya.i hate head master.

Ukiona binti yako aharibika chazo ni Hawa walimu wa kiume Wana tamaa Sana ya ngono kwa wanafunzi wao.

Sio wote wenye vitendo hivyo
Huna wazazi wala ndugu ambao uliwaambia hili

Ukileta leo jf unamaana gani?

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hope ni wazima Wana Jf

Katika kila kundi la wanawake 10,lazima ukute wanawake 5 au 6 washawahi kufanyiwa sexual abuse na walimu wa kiume,Kuna shule sitaitaja nilisoma o level Kuna teacher wa English na alikuwa second master alikuwa na michezo michafu anakuita ofisini kwake Mara akushike shike story nyingi ataongea hapo za upuuzi tu,

Tulipeleka malalamiko yetu kwa mkuu wa shule haikusaidia kitu Kama alikuwa anamtetea na kutusema sisi wanafunzi wa kike tumeanza umalaya.i hate head master.

Ukiona binti yako aharibika chazo ni Hawa walimu wa kiume Wana tamaa Sana ya ngono kwa wanafunzi wao.

Sio wote wenye vitendo hivyo
Kweli kabisa olevel waalimu hasa private schools ambazo sio za seminary ni nyoko wanambato au kunyandua sana madent
 
180a562a-be26-4690-b82f-fb9507190df7.jpg

Mabinti wenyewe sasa huko chuoni
 
Aliyekutoa bikra bila kukuoa. Huyo ndo amekuharibu na kuua future yako yakupata Mwanaume smart

Lecture hawezi kuomba ngono kwa demu bikra anajua huyu bitch Basi nayeye anapita umo umo.


Wanaume hawakui kihisia ni kweli lakini ukikaa kimalaya lazima yakutokee then Chuoni Kuna wanafunzi let say 20k na lecture hawazidi hata 400 so unataka kusema wanawake wote mnaojiuza chanzo mlianza kutombwa na malecture ur logic is too sadic
Wewe ni mkatili ,huwezi kubeba changamoto za watu,ila unaweza kuzidisha changamoto za watu,mtu aliyepoteza bikira Kabla ya ndoa ana haki ya kuendelea kudharirishwa!??wewe ni mzazi au ndio "kataa ndoa " !?au umebahatika kupata watoto wa kiume tu? Waza upya,ukiweza futa ulichoandika,other wise if you're among of those lectures
 
Wewe ni mkatili ,huwezi kubeba changamoto za watu,ila unaweza kuzidisha changamoto za watu,mtu aliyepoteza bikira Kabla ya ndoa ana haki ya kuendelea kudharirishwa!??wewe ni mzazi au ndio "kataa ndoa " !?au umebahatika kupata watoto wa kiume tu? Waza upya,ukiweza futa ulichoandika,other wise if you're among of those lectures
We do it for funy don't anything serious .
 
Hope ni wazima Wana Jf

Katika kila kundi la wanawake 10,lazima ukute wanawake 5 au 6 washawahi kufanyiwa sexual abuse na walimu wa kiume,Kuna shule sitaitaja nilisoma o level Kuna teacher wa English na alikuwa second master alikuwa na michezo michafu anakuita ofisini kwake Mara akushike shike story nyingi ataongea hapo za upuuzi tu,

Tulipeleka malalamiko yetu kwa mkuu wa shule haikusaidia kitu Kama alikuwa anamtetea na kutusema sisi wanafunzi wa kike tumeanza umalaya.i hate head master.

Ukiona binti yako aharibika chazo ni Hawa walimu wa kiume Wana tamaa Sana ya ngono kwa wanafunzi wao.

Sio wote wenye vitendo hivyo
Tupunguze kuwaambia watoto elimu Yako ndio maisha Yako, hii inachangia watoto kufikiri nikimnyima ticha hapa ndio ntakuwa nimeharibu maisha, mwambie tuu mwl akikusumbua mkatae, shule nyingi ntakutafutia,

University , mwambie matajiri wengi Wana elimu za kawaida, na waliosoma wengi hawatumii taaluma zao kwenye bzness, lecture akikutaka mkatae,akikulazimisha mreport, usiposikilizwa Rudi nyumbani , ujue bahati Yako Iko kwingine sawa mama/Binti yangu(with love)
 
We do it for funy don't anything serious .
Hii ni forum, huyu aliepost anaweza akawa ana tatizo,so anajaribu kutafuta amani,

Wewe una aman, unapost kwa kuangalia ambao watasoma wakiwa na aman kama wewe, kesho au kesho kutwa unasikia dada Ako amekunywa sumu amekufa, untrace kumbe aliwahi fanyiwa ukatili na mwl wake. Hakuwa na wa kumwambia, maana home wote ni hopeless, hamna wa kumsaidia ili kutua mzigo, watamchanganya tu just as how you did here,

Anakimbilia huku ili kupata msaada, kumbe kaka ake kivuluge huku Nako yupo bila yeye kujua. Anapost, alichokimbia home anakutana nacho huku jf, anarudi home anajiuwa, kwa sababu ya maneno Yako machache , wanaishia tu kusema marehemu hakuacha ujumbe!

Tuwe makin,Nimeshuhudia wengi sana wamekufa humu JF kwa sababu ya ubinafsi wetu, jifunze kusoma hisia za watu kupitia post zao
 
Hio inaitwa teaching allowance....hata na hivo hao mabinti wanachakachuliwa mitaani kwa hyo maticha wanakula makombo tu!
 
Wewe ni mkatili ,huwezi kubeba changamoto za watu,ila unaweza kuzidisha changamoto za watu,mtu aliyepoteza bikira Kabla ya ndoa ana haki ya kuendelea kudharirishwa!??wewe ni mzazi au ndio "kataa ndoa " !?au umebahatika kupata watoto wa kiume tu? Waza upya,ukiweza futa ulichoandika,other wise if you're among of those lectures
Mwalimu ukimkataa atakufanyaje, assume wewe ndiye Binti wa form 4
 
Hope ni wazima Wana Jf

Katika kila kundi la wanawake 10,lazima ukute wanawake 5 au 6 washawahi kufanyiwa sexual abuse na walimu wa kiume,Kuna shule sitaitaja nilisoma o level Kuna teacher wa English na alikuwa second master alikuwa na michezo michafu anakuita ofisini kwake Mara akushike shike story nyingi ataongea hapo za upuuzi tu,

Tulipeleka malalamiko yetu kwa mkuu wa shule haikusaidia kitu Kama alikuwa anamtetea na kutusema sisi wanafunzi wa kike tumeanza umalaya.i hate head master.

Ukiona binti yako aharibika chazo ni Hawa walimu wa kiume Wana tamaa Sana ya ngono kwa wanafunzi wao.

Sio wote wenye vitendo hivyo
WATOTO NAO NI CHANZO CHA KUWAHARIBU WALIMU/LECTURERS
 
USHENZI tu KIZAZi Cha zinaa.

KIZAZi hakuna Maadili, wazazi hovyo WATOTO hovyo.

UMASIKINI MBAYA sana
Hasa wa Fikra.
JK Nyerere.
 
Back
Top Bottom