Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah agiza soda nakuja kulipaAliyekutoa bikra bila kukuoa. Huyo ndo amekuharibu na kuua future yako yakupata Mwanaume smart
Lecture hawezi kuomba ngono kwa demu bikra anajua huyu bitch Basi nayeye anapita umo umo.
Wanaume hawakui kihisia ni kweli lakini ukikaa kimalaya lazima yakutokee then Chuoni Kuna wanafunzi let say 20k na lecture hawazidi hata 400 so unataka kusema wanawake wote mnaojiuza chanzo mlianza kutombwa na malecture ur logic is too sadic
Hahahaha, usiwe una assume sana ,utabeba changamoto za watu na wewe ukaanza kuhitaji msaada Tena,,,,be you!Mwalimu ukimkataa atakufanyaje, assume wewe ndiye Binti wa form 4
Sasa hapo umeandika nn?Hope ni wazima Wana Jf
Katika kila kundi la wanawake 10,lazima ukute wanawake 5 au 6 washawahi kufanyiwa sexual abuse na walimu wa kiume,Kuna shule sitaitaja nilisoma o level Kuna teacher wa English na alikuwa second master alikuwa na michezo michafu anakuita ofisini kwake Mara akushike shike story nyingi ataongea hapo za upuuzi tu,
Tulipeleka malalamiko yetu kwa mkuu wa shule haikusaidia kitu Kama alikuwa anamtetea na kutusema sisi wanafunzi wa kike tumeanza umalaya.i hate head master.
Ukiona binti yako aharibika chazo ni Hawa walimu wa kiume Wana tamaa Sana ya ngono kwa wanafunzi wao.
Sio wote wenye vitendo hivyo
Unafanya mchezo na Supp mkuu 😂😂 atachezeshwa hadi atoe utelezi and trust me atatoa tuTupunguze kuwaambia watoto elimu Yako ndio maisha Yako, hii inachangia watoto kufikiri nikimnyima ticha hapa ndio ntakuwa nimeharibu maisha, mwambie tuu mwl akikusumbua mkatae, shule nyingi ntakutafutia,
University , mwambie matajiri wengi Wana elimu za kawaida, na waliosoma wengi hawatumii taaluma zao kwenye bzness, lecture akikutaka mkatae,akikulazimisha mreport, usiposikilizwa Rudi nyumbani , ujue bahati Yako Iko kwingine sawa mama/Binti yangu(with love)