Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Time is too short, siku si nyingi sikukuu ya wafanyakazi inakuja. Je wewe kama mwalimu umejiandaaje? Umejiiandaa kuwa Chawa wa mama ili umsaidie ushindi 2025 kwenye box la kura au umejipanga kufanya harakati zenye Nia ya kumkomboa mwalimu kutoka kwenye ufukara wa kutia aibu.
Naomba tuende Sawa hapa : haki haiombwi, shairi la mwanalege kutoka Jamaica Peter toshi anasema watu wanataka kwenda mbinguni ila kufa hawataki. Sasa utaendaji mbinguni bila kufa. Ili haki ya mwalimu ipatikane lazima mrisk kazi zenu
Hiyo siku natamani muandamane barabarani mumwambie Samia kupanda madaraja ni kila baada miaka 3, muanze kupewa house allowance maana hamna hata nyumba za walimu, muanze kupewa teaching allowance ili kurahisisha shughuli za ufundishaji kama kudownload material mitandaoni na kununua teaching Aids
Sasa ipo hivi; kwenye haya maandamano wapo walimu watapoteza kazi, wapo watawashwa mbata na maaskari, wapo watakula kisago na wakuu wa shule maana huko mashuleni mkuu wa shule ni inversely proportion na walimu wenzake, mtatukanwa sana na watu wa CCM, cwt, TUCTA, tsc, mwijaku, Steve nyerere wote hao watakuwa upande wa mama maana asili ya wabongo bila kujipendekeza wanaona hawatoboi.
All in all move onnnnn, never quit please that day don't fall me down I beg you 🙏
No police force, no court, no government, no army, no anything will stop the will of the people. When Injustice becomes law resistance becomes duty (Thomas JF)
Naomba tuende Sawa hapa : haki haiombwi, shairi la mwanalege kutoka Jamaica Peter toshi anasema watu wanataka kwenda mbinguni ila kufa hawataki. Sasa utaendaji mbinguni bila kufa. Ili haki ya mwalimu ipatikane lazima mrisk kazi zenu
Hiyo siku natamani muandamane barabarani mumwambie Samia kupanda madaraja ni kila baada miaka 3, muanze kupewa house allowance maana hamna hata nyumba za walimu, muanze kupewa teaching allowance ili kurahisisha shughuli za ufundishaji kama kudownload material mitandaoni na kununua teaching Aids
Sasa ipo hivi; kwenye haya maandamano wapo walimu watapoteza kazi, wapo watawashwa mbata na maaskari, wapo watakula kisago na wakuu wa shule maana huko mashuleni mkuu wa shule ni inversely proportion na walimu wenzake, mtatukanwa sana na watu wa CCM, cwt, TUCTA, tsc, mwijaku, Steve nyerere wote hao watakuwa upande wa mama maana asili ya wabongo bila kujipendekeza wanaona hawatoboi.
All in all move onnnnn, never quit please that day don't fall me down I beg you 🙏
No police force, no court, no government, no army, no anything will stop the will of the people. When Injustice becomes law resistance becomes duty (Thomas JF)