Abou Shaymaa
JF-Expert Member
- Oct 19, 2022
- 1,479
- 3,229
Mkuu yule ni mwalim mwenzenu ana wahamasisheni mudai haki zenu muungeni mkono ila tu abadili mbinu, hiyo ya kuwadhihaki sio mzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana uhamasishaji wowote,anajaribu kuhamisha upepo wa yeye kujaribu kuwa mwanamkeNaona jamaa anajitahd kuhamasisha walimu wenzake waandamane ila hapati sapot kwa wenzake kwasababu anatumia njia ya kuwadhihaki
Hatutaki, haki zipi zaidi ya mshaharaMkuu yule ni mwalim mwenzenu ana wahamasisheni mudai haki zenu muungeni mkono ila tu abadili mbinu, hiyo ya kuwadhihaki sio mzuri
Umeshapata Basha kwenye Ile thread sasa umekuja kwa Kasi ya mwanga kuwasiginia kunguni walimuKwanini uwe muoga kwenye kudai haki zako? Ivi unajua uoga unafedhehesha zaidi ya umasikini. Basi niwaambie tu mimi nitawadharau nasitawasalimia mpaka mtakapoandamana kudai haki zenu
Walimu wengi wana miaka zaidi ya kumi kazini ila wakiomba uhamisho hawapewi na vigezo wanavyo, uhamisho wa kubadilisha pia ni mbinde majina yanatoka ila vibali havitoki, una Miaka kumi na mbili ila umepanda daraja Mara moja tu, pesa yako ya kujikimu mpaka Leo hujamaliziwa unapewa nusu nusu, mshahara wako wa kwanza mpaka Leo hujalipwa unadai malimbikizo hata mfuko wa shangazi kaja unajaa, mnakaa kwenye magofu, Mnaishi Kwa kutukanwa, mnapigwa biti na mkuu wa shule mnapwaya, Mnaishi Kwa huzuni kama yatima, mna madeni yasiyoisha, mishahara yenu niyamiaka kumi nyuma Dunia ya sasa kupewa laki tano ni matusi, hamna posho yoyote, hata kununua pikipiki tu mpaka ukope maana kusave million Tatu na Familia uliyonayo haiwezekani.
Walimu walimu please Mei mosi nataka muandamane, nataka walimu mdai haki zenu. Vinginevyo nitawadharau mpaka kufa mmekuwa waoga kama ngiri jamani.
Halafu pendaneni muwe kitu kimoja hakuna mapinduzi bila umoja. Mkuu wa shule akileta ukuda mpigeni spana za kutosha kwenye vikao vyenu mpaka ajihisi kajinyea
Acheni woga hakuna wakuwakomboa zaidi ya kujikomboa nyinyi wenyewe, lazima ifike wakati mseme enough is enough
Labda kule polisiNa vipi mwalimu ambae ni shoga
Mimi sio mwalimu mkuuNaona jamaa anajitahd kuhamasisha walimu wenzake waandamane ila hapati sapot kwa wenzake kwasababu anatumia njia ya kuwadhihaki
Unapata allowance ipiTicha mimi napata kila kitu.
Rubbish comment, kwahiyo ualimu unaulinganisha na ushoga!!? Mamayoo!!Bora walimu kuliko shoga
Ila ni ujanja kuwa demu!?Mimi sio mwalimu mkuu, siwezi kufanya kazi ya kipumbavu kama hii
Mkuu upo Tanzania kama unaota upo marekani amka kumekuchaRubbish comment, kwahiyo ualimu unaulinganisha na ushoga!!? Mamayoo!!
Wasikuumize kichwa Hawa,Hawa wote ni failed teachers...Rubbish comment, kwahiyo ualimu unaulinganisha na ushoga!!? Mamayoo!!
"Shida zetu"Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu.
Shukran [emoji120]Anaetamani kua mwanamke ptuuuu ..kubishana NAE ni kupoteza mda TU[emoji57][emoji57][emoji57]
Yaani nimemdharau hasaaa