Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu ni watu muhimu mno ila walimu wa sasa mmetengenezwa kwa misingi ya hofu na kutokujiamin , kuna karia haina pesa kama ya mwalimu ila tu kujiamni tu kunawafanya wasionekane mbayuwayu , unaweza ukafika shuleni tu upo smart na kausafiri kako walimu wakatimua mbiyo kama wanafunzi wakahisi ni mkaguzi , hii karia ni muhimu mno inahitajika wazazi na serikali tuwatie moyo na sio kuwavunja ,hawa ni walezi wa taifa la kesho .
 
Jiheshimu.
Miaka yote walimu wanajipigania wenyewe. Usitake kufanana nao. Kosa la mwalimu mmoja lisiwe la walimu wote.
Suala la uhamisho siyo inshu ya walimu pekee ni idara zote.
Pia serikali itakuwa ya kipumbavu kama haitakuwa na limitations za uhamisho maana watumishi asilimia 90 wanataka kuishi mjini.
Serikali inalipa kadri iwezayo lakini pia vyama vya wafanyakazi bado vina msukumo sasa wewe hata leo ukiwa Rais utahamisha watumishi wote kijijini upeleke mjini mbona utakuwa Rais wa hovyo.

Wewe hufai kuwa kiongozi wa umma ni mpotoshaji. Unatakiwa upambane ili uhame siyo kuhama kiurahisi rahisi tu utadhani nchi ya baba yako.
Ndonyie wachawi, haters of progress
 
Walimu ni watu muhimu mno ila walimu wa sasa mmetengenezwa kwa misingi ya hofu na kutokujiamin , kuna karia haina pesa kama ya mwalimu ila tu kujiamni tu kunawafanya wasionekane mbayuwayu , unaweza ukafika shuleni tu upo smart na kausafiri kako walimu wakatimua mbiyo kama wanafunzi wakahisi ni mkaguzi , hii karia ni muhimu mno inahitajika wazazi na serikali tuwatie moyo na sio kuwavunja ,hawa ni walezi wa taifa la kesho .
Walimu Wana pesa, shida Ina baki Kwa mtumiaji wa huo mshahara

Wapo wengi kuliko watumishi wengine ndiyo maana inakuwa rahisi kuwa pinpoint kuliko watumishi wengine, mathalani afisa maendeleo wa Kata

Hapo nikukuuliza nitajie afisa maendeleo wa Kata Yako najua itakuwa shida kumjua Kwa haraka tofauti na nikisema unitajie mwalimu yeyote unayemfahamu hapo mtaani kwako

Mbona walimu waliofanikiwa hamuwataji,nchi hii imetoa karibu walimu wawili kuwa Marais mbona ilo hamlisemi!?
 
Kama hyo 500k ni nyingi,mbona mnamaisha magumu sana...
Mikopo,bond,kuombaomba mnaongoza nyie walimu..
Halafu kazi gani hyo kila siku matukio ya kutatanisha yanafanywa na walimu?..

Mnapoambiwa ukweli msikasirike na mkumbuke haya tunayoandika mama samia anasoma,sisi tunawasaidia nyie mfikiliwe halafu wewe unapotosha wenzio.
Utajiri ni namna unavyoamua kutumia pesa. Wapo walimu matajiri sana wana hadi kampuni zao zao kwa hiyo kila kundi lazima kuna rank hata uliko wewe siyo wote mna hela.
Hata wakulima, maaskari, wanasheria hawapo sawa.
 
Maisha magumu hata wasion walimu wanayo

NI mantiki Gani unayotumia kuona Hali ngumu Kwa mwalimu ni kitu Cha ajabu kuliko nesi au polisi akiwa na maisha magumu!?
Mkuu kuna uzi nilishaleta humu nikielezea kazi za hovyo kwenye nchi hii.
Mwalimu, polisi, askari magereza... hawa ndio tatu bora na ukumbuke hapa tunawaongelea waajiliwa na maisha yao..
Ukisema maisha magumu yapo kwa kila mtu unatoka nje ya point
 
Back
Top Bottom