Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #81
Tukana uone tena wewe ngoja nakujua Leo nakuja hapo nikupe dawa yakoKama hamjitambui lazima niwaseme nanitaanza kuwatukana Sasa, kama kupigwa ban poteleambali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukana uone tena wewe ngoja nakujua Leo nakuja hapo nikupe dawa yakoKama hamjitambui lazima niwaseme nanitaanza kuwatukana Sasa, kama kupigwa ban poteleambali
Wana hali ngumu sana,mtoa post mwenyewe uskute hata bodaboda hanaYani ujue nawaza sijui wakishaajiriwa wanageuzwa misukule??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Ungekua mwanamke pengine usingeandika point hivi..
Shoga hana hakiBora walimu kuliko shoga
Ndonyie wachawi, haters of progressJiheshimu.
Miaka yote walimu wanajipigania wenyewe. Usitake kufanana nao. Kosa la mwalimu mmoja lisiwe la walimu wote.
Suala la uhamisho siyo inshu ya walimu pekee ni idara zote.
Pia serikali itakuwa ya kipumbavu kama haitakuwa na limitations za uhamisho maana watumishi asilimia 90 wanataka kuishi mjini.
Serikali inalipa kadri iwezayo lakini pia vyama vya wafanyakazi bado vina msukumo sasa wewe hata leo ukiwa Rais utahamisha watumishi wote kijijini upeleke mjini mbona utakuwa Rais wa hovyo.
Wewe hufai kuwa kiongozi wa umma ni mpotoshaji. Unatakiwa upambane ili uhame siyo kuhama kiurahisi rahisi tu utadhani nchi ya baba yako.
Maisha magumu hata wasion walimu wanayoWana hali ngumu sana,mtoa post mwenyewe uskute hata bodaboda hana
Vipi ukitakiwa kuwa mwanamke! Utakubali, utakataa?Mimi sio mwalimu mkuu, siwezi kufanya kazi ya kipumbavu kama hii
Itamkwe madam mpwayunguTeacher mpwayungu village
Hawa hawajielewi mkuu ni heri waoge lugha mbovu ili waumie watambue hakizao
Kusaidiwa kufikia malengo yako sio dhambi ndugu punguza makasilikoHatutaki sisi atupambanie kwani tumemuomba aache shobo hatuhangaik na mashoga
Itamkwe madam mpwayungu
Andamaneni acheni ujingaVijana wako watatukuta shuleni, in every action, there is equal reaction but opposite direction. Karma!!!
Yule kijana siyo bure! atakuwa amewahi kufanyiwa kitu kibaya na mwalimu. Na ndiyo maana amefikia mpaka hatua ya kutamani kuwa mwanamke.Unamkuza tu ushawahi ona wapi mwanaume anatamani awe mwanamke akawa ana akili. Yule jamaa akili zimeamia nyuma.
Walimu Wana pesa, shida Ina baki Kwa mtumiaji wa huo mshaharaWalimu ni watu muhimu mno ila walimu wa sasa mmetengenezwa kwa misingi ya hofu na kutokujiamin , kuna karia haina pesa kama ya mwalimu ila tu kujiamni tu kunawafanya wasionekane mbayuwayu , unaweza ukafika shuleni tu upo smart na kausafiri kako walimu wakatimua mbiyo kama wanafunzi wakahisi ni mkaguzi , hii karia ni muhimu mno inahitajika wazazi na serikali tuwatie moyo na sio kuwavunja ,hawa ni walezi wa taifa la kesho .
Nilikuwa nakuheshimu sanaMadam mpwayangu village
Utajiri ni namna unavyoamua kutumia pesa. Wapo walimu matajiri sana wana hadi kampuni zao zao kwa hiyo kila kundi lazima kuna rank hata uliko wewe siyo wote mna hela.Kama hyo 500k ni nyingi,mbona mnamaisha magumu sana...
Mikopo,bond,kuombaomba mnaongoza nyie walimu..
Halafu kazi gani hyo kila siku matukio ya kutatanisha yanafanywa na walimu?..
Mnapoambiwa ukweli msikasirike na mkumbuke haya tunayoandika mama samia anasoma,sisi tunawasaidia nyie mfikiliwe halafu wewe unapotosha wenzio.
Mkuu kuna uzi nilishaleta humu nikielezea kazi za hovyo kwenye nchi hii.Maisha magumu hata wasion walimu wanayo
NI mantiki Gani unayotumia kuona Hali ngumu Kwa mwalimu ni kitu Cha ajabu kuliko nesi au polisi akiwa na maisha magumu!?
Unadhani ukijificha huku mtandaoni asili haikuoni???Andamaneni acheni ujinga