Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu ni watu muhimu mno ila walimu wa sasa mmetengenezwa kwa misingi ya hofu na kutokujiamin , kuna karia haina pesa kama ya mwalimu ila tu kujiamni tu kunawafanya wasionekane mbayuwayu , unaweza ukafika shuleni tu upo smart na kausafiri kako walimu wakatimua mbiyo kama wanafunzi wakahisi ni mkaguzi , hii karia ni muhimu mno inahitajika wazazi na serikali tuwatie moyo na sio kuwavunja ,hawa ni walezi wa taifa la kesho .
Oya [emoji23]
 
Unadhani ukijificha huku mtandaoni asili haikuoni???
Wewe nawe mwalimu tu huna jjipya, unataka walimu wenzio wapambane wewe upate mseleleko.
Jianze upya.
Anafikili kamseleleko kanakuja hivi hivi bila kutoa jasho
 
Utajiri ni namna unavyoamua kutumia pesa.Wapo walimu matajiri sana wana hadi kampuni zao zao kwa hiyo kila kundi lazima kuna rank hata uliko wewe siyo wote mna hela.
Hata wakulima,maaskari,wanasheria hawapo sawa.
Umetoa point ya kitoto sana..hakuna mwalimu aliyetajirika kwa kutegemea 500k..nakataa hakuna.

Mimi mkulima lakini nikiangalia kwenye eneo ninaloishi,hakuna mwalimu wa kunifikia. wanaungaunga tu
 
Yule kijana siyo bure! atakuwa amewahi kufanyiwa kitu kibaya na mwalimu. Na ndiyo maana amefikia mpaka hatua ya kutamani kuwa mwanamke.
Dah [emoji22]yani moja ya watu niliokuwa nawaona wapo active ni Tate Mkuu ila nashangaa naww umeungana na wajinga

Tate siwewe pia unasemaga walimu wana maisha magumu
 
Umetoa point ya kitoto sana..hakuna mwalimu aliyetajirika kwa kutegemea 500k..nakataa hakuna.

Mimi mkulima lakini nikiangalia kwenye eneo ninaloishi,hakuna mwalimu wa kunifikia. wanaungaunga tu
Wanaungaunga Kwa uvivu wao, nakuuliza hakuna walimu waliotusua katika mazingira Yako!?

Kama hawapo njoo huku nikuonyeshe
 
Kwanini uwe muoga kwenye kudai haki zako? Ivi unajua uoga unafedhehesha zaidi ya umasikini. Basi niwaambie tu mimi nitawadharau nasitawasalimia mpaka mtakapoandamana kudai haki zenu

Walimu wengi wana miaka zaidi ya kumi kazini ila wakiomba uhamisho hawapewi na vigezo wanavyo, uhamisho wa kubadilisha pia ni mbinde majina yanatoka ila vibali havitoki, una Miaka kumi na mbili ila umepanda daraja Mara moja tu, pesa yako ya kujikimu mpaka Leo hujamaliziwa unapewa nusu nusu, mshahara wako wa kwanza mpaka Leo hujalipwa unadai malimbikizo hata mfuko wa shangazi kaja unajaa, mnakaa kwenye magofu, Mnaishi Kwa kutukanwa, mnapigwa biti na mkuu wa shule mnapwaya, Mnaishi Kwa huzuni kama yatima, mna madeni yasiyoisha, mishahara yenu niyamiaka kumi nyuma Dunia ya sasa kupewa laki tano ni matusi, hamna posho yoyote, hata kununua pikipiki tu mpaka ukope maana kusave million Tatu na Familia uliyonayo haiwezekani.

Walimu walimu please Mei mosi nataka muandamane, nataka walimu mdai haki zenu. Vinginevyo nitawadharau mpaka kufa mmekuwa waoga kama ngiri jamani.
Halafu pendaneni muwe kitu kimoja hakuna mapinduzi bila umoja. Mkuu wa shule akileta ukuda mpigeni spana za kutosha kwenye vikao vyenu mpaka ajihisi kajinyea

Acheni woga hakuna wakuwakomboa zaidi ya kujikomboa nyinyi wenyewe, lazima ifike wakati mseme enough is enough
Kifupi hueleweki suala la madai na uhamisho kila kada wanadai ila umekomaa na walimu tu
 
Mkuu kuna uzi nilishaleta humu nikielezea kazi za hovyo kwenye nchi hii.
Mwalimu,polisi,askari magereza..hawa ndio tatu bora na ukumbuke hapa tunawaongelea waajiliwa na maisha yao..
Ukisema maisha magumu yapo kwa kila mtu unatoka nje ya point
Za ovyo kivipi mkuu?
 
Ukishazoea kunyanyaswa na kunyimwa haki zako kwa muda mrefu inafikia muda unasahau hayo manyanyaso na haki zako kwa hiyo unaona sawa tu !

Hata wana waizrael walipokombolewa na Musa kutoka utumwani ,walipofika jangwani wakaanza kumwambia Musa kuwa ni bora angewaacha kulekule kwa pharaoh ambapo walikuwa wakipata ugali wao wa kila siku licha ya kutaabishwa mno .
 
Dah [emoji22]yani moja ya watu niliokuwa nawaona wapo active ni Tate Mkuu ila nashangaa naww umeungana na wajinga

Tate siwewe pia unasemaga walimu wana maisha magumu
Tate Mkuu yupo sahihi,
Umefanya kosa kubwa la kimkakati kutafuta kick na views,replies na mentions Kwa kutamani kuwa mwanamke
Umefanya kosa kubwa la kimkakati
 
Walimu Wana pesa,shida Ina baki Kwa mtumiaji wa huo mshahara

Wapo wengi kuliko watumishi wengine ndiyo maana inakuwa rahisi kuwa pinpoint kuliko watumishi wengine,mathalani afisa maendeleo wa Kata

Hapo nikukuuliza nitajie afisa maendeleo wa Kata Yako najua itakuwa shida kumjua Kwa haraka tofauti na nikisema unitajie mwalimu yeyote unayemfahamu hapo mtaani kwako


Mbona walimu waliofanikiwa hamuwataji,nchi hii imetoa karibu walimu wawili kuwa Marais mbona ilo hamlisemi!?
Kweli kabsa walimu wanaheshimika sna ata mitaani walimu ata kumkopea bidhaa ni rahisi sana, kwa sababu unajua ana uhakika wa kipato, kwenye makanisa wanachaguliwa viongozi na hata wakistaafu wanaaminiwa sna kwenye mambo mbalimbali ya kijamii , shida inakuja kwa hawa walimu uchwara wabakiji na wavuta bangi , hao wachache wa ovyo wanafanya walimu waonekane wa ovyo kwa sababu tu walimu ni walezi wa watoto wetu , ebu fikiria pale unaposikia mlezi wa mwanao amelawiti mtoto , apo lazima wazungumziwe sna.
 
Kweli kabsa walimu wanaheshimika sna ata mitaani walimu ata kumkopea bidhaa ni rahisi sana, kwa sababu unajua ana uhakika wa kipato, kwenye makanisa wanachaguliwa viongozi na hata wakistaafu wanaaminiwa sna kwenye mambo mbalimbali ya kijamii , shida inakuja kwa hawa walimu uchwara wabakiji na wavuta bangi , hao wachache wa ovyo wanafanya walimu waonekane wa ovyo kwa sababu tu walimu ni walezi wa watoto wetu , ebu fikiria pale unaposikia mlezi wa mwanao amelawiti mtoto , apo lazima wazungumziwe sna.
Hao walimu wabakaji,wavuta bangi na wanaotamani kuwa mashoga ndo hao akina mpwayungu village
 
Usituchoshe maana sisi tunaishi Kwa uzalendo Kwa kufuata ideology ya mwalimu nyerere. Kama Kuna mwalimu kaja kutafuta utajiri kupitia kwenye uwalimu basi nashauri aondoke hayupo sehemu sahihi

Mbona unatunanga sana kwani vipi weweeee ebu tuache haloooo. Walimu wote tupo pamoja na serikali maana bila mama Samia mimi watoto wangu hawawez kula kwasababu yeye ndoananipa mshahara. Huwezi mpangia boss wako kiasi gani cha pesa akulipe

Kwa mwalimu ambae anaona anaonewa aondoke sisi hatuna shida na utajiri. Kama unaona laki tano ndogo jaribu kumpa ambae hana kazi kama ataona ndogo
Muache kuiba kura kwa malipo kiduchu.
Waalimu wa nchi hii ni wasaliti sana kwa kura zetu
 
Back
Top Bottom