Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Dah [emoji22]yani moja ya watu niliokuwa nawaona wapo active ni Tate Mkuu ila nashangaa naww umeungana na wajinga

Tate siwewe pia unasemaga walimu wana maisha magumu
Nimeona niungane nao tu kwa kweli. 😃 Ule uzi wako wa kutamani kuwa mwanamke, umenitoa kabisa kwenye ule umoja wetu. Maana nimegundua muda si mrefu utatukimbia wanaume wenzako.

Halafu mimi siku zote huwa nawatia moyo watumishi wote wa umma wa ngazi za chini, kujiongeza. Yaani wasiishi kwa kutegemea mshahara pekee. Hivyo hata kwenye kundi la walimu nako kuna tofauti kubwa kati ya wale wenye miradi yao binafsi, na wale wanao tegemea mshahara kwa 100%.
 
Nimeona niungane nao tu kwa kweli. Ule uzi wako wa kutamani kuwa mwanamke, umenitoa kabisa kwenye ule umoja wetu. 😃

Halafu mimi siku zote huwa nawatia moyo watumishi wote wa umma wa ngazi za chini, kujiongeza. Yaani wasiishi kwa kutegemea mshahara pekee. Hivyo hata kwenye kundi la walimu na ko kuna tofauti kubwa kati ya wale wenye miradi yao binafsi, na wale wanao tegemea mshahara kwa 100%.
Huyu ni hasara Kwa Taifa na Jamii ya wanaume

Hatukubaliani Mimi na yeye kwenye mambo mengi ila hili lakutamani kuwa mwanamke ni kosa moja litakalo mgharimu asa longa as anatumia hiii id
 
Watu watamtukana Mpwayungu lakini ana point asikilizwe, Endeleeni kutunisha msuli mbele ya keyboard ya simu ila ukweli Walimu wana mazingira Magumu sana ya kazi na kipato duni..

Kama kweli mngekuwa na Mshahara mzuri msingetolea macho mambo ya sensa za 30k kwa siku.

Tumesikia kuna vijana wameuana huko Geita, kisa sjui cheo gani labda kuwa second master....

Nje ya mshahara hakuna allowance yoyote, unaishi Dodoma, mara unapangiwa ileje vijijini kufika shuleni unavuka mto na mtumbwi, Nanasi utakula siku mshahara ukitoka, unaona mwalimu katoka mjini kabeba matunda sasa.

Yaani ishafikia hatua mwalimu anaonekana tu kwa macho hata kabla hujamuuliza.

Headmaster ni Mungu mtu akiongea wengine wanatetemeka..

Mnakosa exposure kiasi kwamba gari ikiingia eneo la shule watu wanaanza kutetemeka....wanawaogopa watu wa halmashauri kama Miungu yao.

CWT inawanyonya kama kupe na wapo tu.
Mwalimu ukimwambia Nje ya ualimu anaweza akafanya kazi nyingine anakwambia "Inawezekanaje"? Yeye aanachojua ni kufundisha tu..

Kuna mahali mpywayungu anawagusa na mnaujua ukweli
 
Nimefungwa gerezani miaka 2(nayajua maisha ya askar magereza)..

Kaka yangu ni mwalimu songea sec(huyu ndo usiseme kwakua ni familia acha nikae kimya)
Polisi naishi nao mtaani kila siku mpaka wamekua washkaji zangu,wanapigikaga mpaka wanakosa hela ya bange.
Ni sawa kuwadharau kuwaita wajinga mambumbumbu sijui hawana akili ndio itabadili maishayao??
 
Watu watamtukana Mwayungu lakini ana point asikilizwe, Endeleeni kutunisha msuli mbele ha keyboard ya simu ila ukweli Walimu wana mazingira Magumu sana ya kazi na kipato duni..

Kama kweli mngekuwa na Mshahara mzuri msingetolea macho mambo ya sensa za 30k kwa siku.

Tumesikia kuna vijana wameuana huko Geita, kisa sjui cheo gani labda kuwa second master....

Nje ya mshahara hakuna allowance yoyote, unaishi Dodoma, mara unapangiwa ileje vijijini kufika shuleni unavuka mto na mtumbwi, Nanasi utakula siku mshahara ukitoka mjini..

Yaani ishafikia hatua mwalimu anaonekana tu kwa macho hata kabla hujamuuliza.

Headmaster ni Mungu mtu akiongea wengine wanatetemeka..

Mnakosa exposure kiasi kwamba gari ikiingia eneo la shule watu wanaanza kutetemeka....wanawaogopa watu wa halmashauri kama Miungu yao.

CWT inawanyonya kama kupe na wapo tu.
Mwalimu ukimwambia Nje ya ualimu anaweza akafanya kazi nyingine anakwambia "Inawezekanaje"? Yeye aanachojua ni kufundisha tu..

Kuna mahali mpywayungu anawagusa na mnaujua ukweli
Point wamtukane jamaa ila ukweli kashausema.
 
mpwayungu village ni mwalimu ambaye amekosa alichokalikishwa kipo ndani ya ualimu ndiyo maana sasa anatamani kuwa mwanamke
Hahaha , nafikiri kwamba mkuu mpwayungu kataman tu vipaumbele anavyopata mwanamke iwe ni kwenye ajira , kazi na hata foundation mbalimbali , sifikiri kama ni maswala ya kupelekewa moto mkuu , sema tu akili zetu watz zinakimbiliaga chini ya kitovu mapema mkuu[emoji1787]
 
Watu watamtukana Mwayungu lakini ana point asikilizwe, Endeleeni kutunisha msuli mbele ha keyboard ya simu ila ukweli Walimu wana mazingira Magumu sana ya kazi na kipato duni..

Kama kweli mngekuwa na Mshahara mzuri msingetolea macho mambo ya sensa za 30k kwa siku.

Tumesikia kuna vijana wameuana huko Geita, kisa sjui cheo gani labda kuwa second master....

Nje ya mshahara hakuna allowance yoyote, unaishi Dodoma, mara unapangiwa ileje vijijini kufika shuleni unavuka mto na mtumbwi, Nanasi utakula siku mshahara ukitoka mjini..

Yaani ishafikia hatua mwalimu anaonekana tu kwa macho hata kabla hujamuuliza.

Headmaster ni Mungu mtu akiongea wengine wanatetemeka..

Mnakosa exposure kiasi kwamba gari ikiingia eneo la shule watu wanaanza kutetemeka....wanawaogopa watu wa halmashauri kama Miungu yao.

CWT inawanyonya kama kupe na wapo tu.
Mwalimu ukimwambia Nje ya ualimu anaweza akafanya kazi nyingine anakwambia "Inawezekanaje"? Yeye aanachojua ni kufundisha tu..

Kuna mahali mpywayungu anawagusa na mnaujua ukweli
Labda una approach nzuri tofauti na yeye kama yupo juu ya stul ndefu sasa kaona inafeli kulipia wakati kachukua jana tu. Na ukute kangombana na kaunta!!

Natambua walimu wanapitia magumu sana hapa nchini! Na hili jambo ni sugu, CWT iliingua virusi, ukifatilia baadhi waliteuliwa na Rais kuwa ma DC (hii ni kuwa wanakula pamoja = wanafahamiana na mlipaji wa walimu) kuna chama kingine kilianzishwa nacho sijakisikia tena, usikute wamelamba asali.
 
Hahaha , nafikiri kwamba mkuu mpwayungu kataman tu vipaumbele anavyopata mwanamke iwe ni kwenye ajira , kazi na hata foundation mbalimbali , sifikiri kama ni maswala ya kupelekewa moto mkuu , sema tu akili zetu watz zinakimbiliaga chini ya kitovu mapema mkuu[emoji1787]
Alishasema akipatikana mjuba wa kumpa 50m anatoa jicho
 
Back
Top Bottom