Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Mfanyabiashara ni mtu mwenye upeo mkubwa sana wa kuona fursa na kutekeleza, ndio maana wanajisimamia na kuanzisha taasisi zao; ila waajiriwa wanachangamoto za maono, ndio maana wameajiriwa, watakuambia tukifukuzwa kazi tutaishije?​
 
Mfanyabiashara ni mtu mwenye upeo mkubwa sana wa kuona fursa na kutekeleza, ndio maana wanajisimamia na kuanzisha taasisi zao; ila waajiriwa wanachangamoto za maono, ndio maana wameajiriwa, watakuambia tukifukuzwa kazi tutaishije?​
Kwani wakifukuzwa kazi na maisha yanaishia hapo?
 
Tatizo la walimu ni kundi kubwa lisilojua kupigania haki zao, kupata usaidizi wa shida zenu sio lazima kugoma, kwa idadi yenu mnaweza fanya jambo serikali ikawasikiliza vizuri tu,

Yaani chama chenu tu cha cwt kinawa buruza sasa mtaweza kuiwajibisha serikali?

Mpwayungu na ufala wake wote ameona tatizo na kuwambia ukweli lakin bado mnaona anawafitini na kuwaonea wivu, KWA kipi hasa,?

Maticha most of them mnatia aibu huku mitaani, unakuta kavaa kadeti imepauka kinoma na shati la ming'ao na buti imechafuka mnooo, afu hana hatari, una mshahara lkn muonekano wako bora hata mbeba mizigo,

Yaani mwalimu kwenye meimosi mbele ya Rais badala ya kutoa malalamiko ya msingi ya kitaasisi unasema tunashukuru kutupatia vishkwambi ila mtufundishe kuvitumia, HUU ni upuuzi wa hali ya juu
 
Tatizo la walimu ni kundi kubwa lisilojua kupigania haki zao, kupata usaidizi wa shida zenu sio lazima kugoma, kwa idadi yenu mnaweza fanya jambo serikali ikawasikiliza vizuri tu,

Yaani chama chenu tu cha cwt kinawa buruza sasa mtaweza kuiwajibisha serikali?

Mpwayungu na ufala wake wote ameona tatizo na kuwambia ukweli lakin bado mnaona anawafitini na kuwaonea wivu, KWA kipi hasa,?

Maticha most of them mnatia aibu huku mitaani, unakuta kavaa kadeti imepauka kinoma na shati la ming'ao na buti imechafuka mnooo, afu hana hatari, una mshahara lkn muonekano wako bora hata mbeba mizigo,

Yaani mwalimu kwenye meimosi mbele ya Rais badala ya kutoa malalamiko ya msingi ya kitaasisi unasema tunashukuru kutupatia vishkwambi ila mtufundishe kuvitumia, HUU ni upuuzi wa hali ya juu
Awamu hii wametoa pesa zao za nauli kumchangia Samia form ya kugombea urais 2025
 
Time is too short, siku si nyingi sikukuu ya wafanyakazi inakuja. Je wewe kama mwalimu umejiandaaje? Umejiiandaa kuwa Chawa wa mama ili umsaidie ushindi 2025 kwenye box la kura au umejipanga kufanya harakati zenye Nia ya kumkomboa mwalimu kutoka kwenye ufukara wa kutia aibu.

Naomba tuende Sawa hapa : haki haiombwi, shairi la mwanalege kutoka Jamaica Peter toshi anasema watu wanataka kwenda mbinguni ila kufa hawataki. Sasa utaendaji mbinguni bila kufa. Ili haki ya mwalimu ipatikane lazima mrisk kazi zenu

Hiyo siku natamani muandamane barabarani mumwambie Samia kupanda madaraja ni kila baada miaka 3, muanze kupewa house allowance maana hamna hata nyumba za walimu, muanze kupewa teaching allowance ili kurahisisha shughuli za ufundishaji kama kudownload material mitandaoni na kununua teaching Aids

Sasa ipo hivi; kwenye haya maandamano wapo walimu watapoteza kazi, wapo watawashwa mbata na maaskari, wapo watakula kisago na wakuu wa shule maana huko mashuleni mkuu wa shule ni inversely proportion na walimu wenzake, mtatukanwa sana na watu wa CCM, cwt, TUCTA, tsc, mwijaku, Steve nyerere wote hao watakuwa upande wa mama maana asili ya wabongo bila kujipendekeza wanaona hawatoboi.

All in all move onnnnn, never quit please that day don't fall me down I beg you 🙏

No police force, no court, no government, no army, no anything will stop the will of the people. When Injustice becomes law resistance becomes duty (Thomas JF)
Kazi ipo
 
Back
Top Bottom