Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
AaaaaaaqhhUngekua mwanamke pengine usingeandika point hivi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaaaaaaqhhUngekua mwanamke pengine usingeandika point hivi..
Hawa hawajielewi mkuu ni heri waoge lugha mbovu ili waumie watambue haki zaoAmna yule jamaa anapambana kutetea walimu hla tu approach yake kidogo unaweza usimuelewe namshauri aswitch mfumo
Yani ujue nawaza sijui wakishaajiriwa wanageuzwa misukule??Kama hyo 500k ni nyingi,mbona mnamaisha magumu sana...
Mikopo,bond,kuombaomba mnaongoza nyie walimu..
Halafu kazi gani hyo kila siku matukio ya kutatanisha yanafanywa na walimu?..
Mnapoambiwa ukweli msikasirike na mkumbuke haya tunayoandika mama samia anasoma,sisi tunawasaidia nyie mfikiliwe halafu wewe unapotosha wenzio.
Hakuna mtumishi wakuandama Kwa katiba hii na Sheria zote ilizozizaaWatumishi wengi chenga tz nzimah akuna kada itakayoandamana kudai ongezeko la mshahara subutu mtumishi hanayeweza anyoshe kidole juu tumshughulikie
Nje ya madaUnamkuza tu ushawahi ona wapi mwanaume anatamani awe mwanamke akawa ana akili. Yule jamaa akili zimeamia nyuma.
Poleni sana mbona Sasa mnanuka shidaHatutaki, haki zipi zaidi ya mshahara
Mimi sio mwalimuMkuu yule ni mwalim mwenzenu ana wahamasisheni mudai haki zenu muungeni mkono ila tu abadili mbinu, hiyo ya kuwadhihaki sio mzuri
UsikhofuUsituchoshe maana sisi tunaishi Kwa uzalendo Kwa kufuata ideology ya mwalimu nyerere. Kama Kuna mwalimu kaja kutafuta utajiri kupitia kwenye uwalimu basi nashauri aondoke hayupo sehemu sahihi
Mbona unatunanga sana kwani vipi weweeee ebu tuache haloooo. Walimu wote tupo pamoja na serikali maana bila mama Samia mimi watoto wangu hawawez kula kwasababu yeye ndoananipa mshahara. Huwezi mpangia boss wako kiasi gani cha pesa akulipe
Kwa mwalimu ambae anaona anaonewa aondoke sisi hatuna shida na utajiri. Kama unaona laki tano ndogo jaribu kumpa ambae hana kazi kama ataona ndogo
Kama hamjitambui lazima niwaseme nanitaanza kuwatukana Sasa, kama kupigwa ban poteleambaliUsituchoshe maana sisi tunaishi Kwa uzalendo Kwa kufuata ideology ya mwalimu nyerere. Kama Kuna mwalimu kaja kutafuta utajiri kupitia kwenye uwalimu basi nashauri aondoke hayupo sehemu sahihi
Mbona unatunanga sana kwani vipi weweeee ebu tuache haloooo. Walimu wote tupo pamoja na serikali maana bila mama Samia mimi watoto wangu hawawez kula kwasababu yeye ndoananipa mshahara. Huwezi mpangia boss wako kiasi gani cha pesa akulipe
Kwa mwalimu ambae anaona anaonewa aondoke sisi hatuna shida na utajiri. Kama unaona laki tano ndogo jaribu kumpa ambae hana kazi kama ataona ndogo
Labda wewe,acha self projectionPoleni sana mbona Sasa mnanuka shida
Anaetamani kua mwanamke ptuuuu ..kubishana NAE ni kupoteza mda TU[emoji57][emoji57][emoji57]
Yaani nimemdharau hasaaa
Hapo kwa miss umempendelea sanaMiss mpwayungu acha kuwananga wenzio
Hao ni walimu wa kujitolea sio tulioajiriwa, ebu niambie mfanyakazi yupi wa halmashauri ana mshahara mkubwa kuliko sisi ukiachana na daktari na mhandisiKama hyo 500k ni nyingi,mbona mnamaisha magumu sana...
Mikopo,bond,kuombaomba mnaongoza nyie walimu..
Halafu kazi gani hyo kila siku matukio ya kutatanisha yanafanywa na walimu?..
Mnapoambiwa ukweli msikasirike na mkumbuke haya tunayoandika mama samia anasoma,sisi tunawasaidia nyie mfikiliwe halafu wewe unapotosha wenzio.
Huyu asikuumize kichwaJiheshimu.
Miaka yote walimu wanajipigania wenyewe. Usitake kufanana nao. Kosa la mwalimu mmoja lisiwe la walimu wote.
Suala la uhamisho siyo inshu ya walimu pekee ni idara zote.
Pia serikali itakuwa ya kipumbavu kama haitakuwa na limitations za uhamisho maana watumishi asilimia 90 wanataka kuishi mjini.
Serikali inalipa kadri iwezayo lakini pia vyama vya wafanyakazi bado vina msukumo sasa wewe hata leo ukiwa Rais utahamisha watumishi wote kijijini upeleke mjini mbona utakuwa Rais wa hovyo.
Wewe hufai kuwa kiongozi wa umma ni mpotoshaji. Unatakiwa upambane ili uhame siyo kuhama kiurahisi rahisi tu utadhani nchi ya baba yako.
Acha siye tuendelee kudunda na ualimu wetuTena lina zero [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]