Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #261
Kuna milofa ipo kazini miaka zaidi ya kumi ila daraja limepanda Mara moja tu na bado linafundisha mpaka jumapiliUko sahihi, walimu ndiyo kundi pekee hapa Tanzania linalotawaliwa kwa utaratibu wa kikoloni, yaani bado lipo ktk kunyonywa.
Ni swala la kawaida kabisa walimu wa halmashauri fulani kupanda cheo na nyingine wasipande hata kama wameajiriwa mwaka mmoja.
Walimu hii haiwashitui na hata wakishituka hawana la kufanya.
Fala weweI swear to God nitampa heshima za kutosha muokota makopo kwenye dampo, muuza maji kwenye foleni za magari ila sio walimu. Nitawachukia maisha yangu yote kwasababu ya akili zao zilivyo chini ya uwezo. wanaamrishwa tu, wanafedheheshwa, wanaburutwa, wanapigwa viboko na Wakuu wa Wilaya, wanachangishwa mpaka Mbio za Mwenge nayanatoa.
Walimu jitambueni, haiwezekani mkawa mnachangishwa Mbio za Mwenge huku serikali inatoa mabilioni kusaidia watu wa Uturuki na Malawi. Hivi akili zenu zipoje jamani, kwani mlipandikiziwa nini?
Sitaki kabisa mazoea na nyinyi, na kuanzia sasa naingia kwenye jukwaa la education kuna uzi wa walimu kubadilishana id's zote za kule nablock kwenye ukrasa wangu, nablock walimu wote kila mtandao mpaka Whatsapp, yaani applications zote nawablock hawa watu. Ni waoga mpaka napata mashaka na elimu yao.
Ualimu sio elimu ya kipumbavu ....Bali ww ndo mpumbavu wa wapumbavu ambae unatamani KUA MWANAMKE [emoji1787]........$TUKASina elimu ya kipumbavu ambayo mwalimu anayo
Pelekeni ujinga wenu uko usifikili mimi mwanafunzi, mumekuwa majinga mpaka wanafunzi wanawaoneni malofaFala wewe
Hawana ubavu wa kukataa tena barua inatoka Kwa mkurugenzi, kama tu mwenyekiti wa kitongoji anawachachafya nawanaomba msamaha hata kosa Hawana iweje Kwa mwajiri waouzi sijauona bhana
Nini mbio za mwenge mwaka huu watachangishwa hadi kili marathon [emoji1787] Watake wasitake
Imefanyaje pesa mbona pesa zenyewe Hawana SasaTatizo pesa mkuu.
Kwan hata wew hapo ulipo ni ROFA kwa maan umefundiahwa na walimu au walimu walikumegea mke wako mbona unamakasiriko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pelekeni ujinga wenu uko usifikili mimi mwanafunzi, mumekuwa majinga mpaka wanafunzi wanawaoneni malofa
I swear to God nitampa heshima za kutosha muokota makopo kwenye dampo, muuza maji kwenye foleni za magari ila sio walimu. Nitawachukia maisha yangu yote kwasababu ya akili zao zilivyo chini ya uwezo. wanaamrishwa tu, wanafedheheshwa, wanaburutwa, wanapigwa viboko na Wakuu wa Wilaya, wanachangishwa mpaka Mbio za Mwenge nayanatoa.
Walimu jitambueni, haiwezekani mkawa mnachangishwa Mbio za Mwenge huku serikali inatoa mabilioni kusaidia watu wa Uturuki na Malawi. Hivi akili zenu zipoje jamani, kwani mlipandikiziwa nini?
Sitaki kabisa mazoea na nyinyi, na kuanzia sasa naingia kwenye jukwaa la education kuna uzi wa walimu kubadilishana id's zote za kule nablock kwenye ukrasa wangu, nablock walimu wote kila mtandao mpaka Whatsapp, yaani applications zote nawablock hawa watu. Ni waoga mpaka napata mashaka na elimu yao.
Aisee pole sana kwa mateso unayopitia.I swear to God nitampa heshima za kutosha muokota makopo kwenye dampo, muuza maji kwenye foleni za magari ila sio walimu. Nitawachukia maisha yangu yote kwasababu ya akili zao zilivyo chini ya uwezo. wanaamrishwa tu, wanafedheheshwa, wanaburutwa, wanapigwa viboko na Wakuu wa Wilaya, wanachangishwa mpaka Mbio za Mwenge nayanatoa.
Walimu jitambueni, haiwezekani mkawa mnachangishwa Mbio za Mwenge huku serikali inatoa mabilioni kusaidia watu wa Uturuki na Malawi. Hivi akili zenu zipoje jamani, kwani mlipandikiziwa nini?
Sitaki kabisa mazoea na nyinyi, na kuanzia sasa naingia kwenye jukwaa la education kuna uzi wa walimu kubadilishana id's zote za kule nablock kwenye ukrasa wangu, nablock walimu wote kila mtandao mpaka Whatsapp, yaani applications zote nawablock hawa watu. Ni waoga mpaka napata mashaka na elimu yao.
Walimu wanaajiliwa kama failure yaani waliotemwa kwenye mchujo wa kila ndoto zao, sasa unategemea wawe na utimamu wa kuhoji haki zao?I swear to God nitampa heshima za kutosha muokota makopo kwenye dampo, muuza maji kwenye foleni za magari ila sio walimu. Nitawachukia maisha yangu yote kwasababu ya akili zao zilivyo chini ya uwezo. wanaamrishwa tu, wanafedheheshwa, wanaburutwa, wanapigwa viboko na Wakuu wa Wilaya, wanachangishwa mpaka Mbio za Mwenge nayanatoa.
Walimu jitambueni, haiwezekani mkawa mnachangishwa Mbio za Mwenge huku serikali inatoa mabilioni kusaidia watu wa Uturuki na Malawi. Hivi akili zenu zipoje jamani, kwani mlipandikiziwa nini?
Sitaki kabisa mazoea na nyinyi, na kuanzia sasa naingia kwenye jukwaa la education kuna uzi wa walimu kubadilishana id's zote za kule nablock kwenye ukrasa wangu, nablock walimu wote kila mtandao mpaka Whatsapp, yaani applications zote nawablock hawa watu. Ni waoga mpaka napata mashaka na elimu yao.
Huyu jamaa inatakiwa apelekwe MIREMBEAisee pole sana kwa mateso unayopitia.
Kila kusudi huthibitika kwa kushauriana; Na kwa shauri la akili fanya vita.Umeamua kutafuta kipozeo cha ile mada yako upunguze machungu, ni kweli waalimu ni waoga lakini kwanini uwashambulie kinafiki hivyo?, kuna siku walishawahi kuja kuomba unga kwako? Kwanini usiache waishi maisha yao?.
Unajua 0 ya kiume ilivyokomaa mixer tuvuzi twa kipilipili tulikogandia kinyesi maana jamaa linaonekana chafu chafu. Akikupa connction unaweza ukazirai😃😃Umeshakuwa mwanamke Ili niombe connection?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unajua 0 ya kiume ilivyokomaa. Akikupa connction unaweza ukazirai[emoji2][emoji2]