Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

I swear to God nitampa heshima za kutosha muokota makopo kwenye dampo, muuza maji kwenye foleni za magari ila sio walimu. Nitawachukia maisha yangu yote kwasababu ya akili zao zilivyo chini ya uwezo. wanaamrishwa tu, wanafedheheshwa, wanaburutwa, wanapigwa viboko na Wakuu wa Wilaya, wanachangishwa mpaka Mbio za Mwenge nayanatoa.

Walimu jitambueni, haiwezekani mkawa mnachangishwa Mbio za Mwenge huku serikali inatoa mabilioni kusaidia watu wa Uturuki na Malawi. Hivi akili zenu zipoje jamani, kwani mlipandikiziwa nini?

Sitaki kabisa mazoea na nyinyi, na kuanzia sasa naingia kwenye jukwaa la education kuna uzi wa walimu kubadilishana id's zote za kule nablock kwenye ukrasa wangu, nablock walimu wote kila mtandao mpaka Whatsapp, yaani applications zote nawablock hawa watu. Ni waoga mpaka napata mashaka na elimu yao.
Basi, mfalme wa Shamu alikuwa akifanya vita na Israeli. Akafanya mashauri na watumishi wake, akasema, Kituo changu kitakuwapo mahali fulani.

2 Wafalme 6:8
 
Umeamua kutafuta kipozeo cha ile mada yako upunguze machungu, ni kweli waalimu ni waoga lakini kwanini uwashambulie kinafiki hivyo?, kuna siku walishawahi kuja kuomba unga kwako? Kwanini usiache waishi maisha yao?.
Ninaowadai asilimia kubwa ni walimu nahawana pesa ya kunilipa
 
Walimu wanaajiliwa kama failure yaani waliotemwa kwenye mchujo wa kila ndoto zao, sasa unategemea wawe na utimamu wa kuhoji haki zao?
Ukweli mtupu, wote niwale waliokuwaga vilaza, tulikuwa tunawaburuza class wanashika mkia
 
Ukweli mtupu, wote niwale waliokuwaga vilaza, tulikuwa tunawaburuza class wanashika mkia
Kuna uzi huko nimeandamwa baada ya kumwambia ukweli mwl mmoja wa manispaa ya moshi, kaleta uzi hapa wa kuhusiana na mkuu wake wa idara, sasa jf itakusaidia nini wakati kuna namna ya kusolve disputes za makazini huko huko kazini kwao, yaan kizazi cha walimu kinachangamoto sana, wacha waendelee kuburuzwa maana wamekubali kuburuzika
 
Sasa unawalaumu wa nini, na wakati unakiri mwenyewe hakuna wa kuwakomboa zaidi ya kujikomboa wenyewe?

Hivi hujagundua tu bado matatizo ya kisaikolojia uliyokuwa nayo? Keave them alone. Unless otherwise, utuambie kama una maslahi yoyote yale na hao walimu.
Nasisitiza wadai haki zao, wasiwe watumwa kwenye nchi Yao
 
Kuna uzi huko nimeandamwa baada ya kumwambia ukweli mwl mmoja wa manispaa ya moshi, kaleta uzi hapa wa kuhusiana na mkuu wake wa idara, sasa jf itakusaidia nini wakati kuna namna ya kusolve disputes za makazini huko huko kazini kwao, yaan kizazi cha walimu kinachangamoto sana, wacha waendelee kuburuzwa maana wamekubali kuburuzika
Acha yaburuzwe tu kizazi cha walimu wa Sasa nikama ngedere tu
 
I swear to God nitampa heshima za kutosha muokota makopo kwenye dampo, muuza maji kwenye foleni za magari ila sio walimu. Nitawachukia maisha yangu yote kwasababu ya akili zao zilivyo chini ya uwezo. wanaamrishwa tu, wanafedheheshwa, wanaburutwa, wanapigwa viboko na Wakuu wa Wilaya, wanachangishwa mpaka Mbio za Mwenge nayanatoa.

Walimu jitambueni, haiwezekani mkawa mnachangishwa Mbio za Mwenge huku serikali inatoa mabilioni kusaidia watu wa Uturuki na Malawi. Hivi akili zenu zipoje jamani, kwani mlipandikiziwa nini?

Sitaki kabisa mazoea na nyinyi, na kuanzia sasa naingia kwenye jukwaa la education kuna uzi wa walimu kubadilishana id's zote za kule nablock kwenye ukrasa wangu, nablock walimu wote kila mtandao mpaka Whatsapp, yaani applications zote nawablock hawa watu. Ni waoga mpaka napata mashaka na elimu yao.
Duh imefikia huko
 
 
Ukweli mtupu, wote niwale waliokuwaga vilaza, tulikuwa tunawaburuza class wanashika mkia
Kiukweli katika maisha yangu sijawahi kuona mwanafunzi aliyefaulu division one ama two iwe O' level ama advance then akachagua kwenda ualimu.

Wote ni wale waliofeli kwenda course za ndoto zao wakaona hawana namna zaidi ya kwenda ualimu kwakuwa ndo fani inayochukua kilaza yeyote bila ubaguzi.

Huu ndo ukweli sio kwamba tunawachukia walimu hapana.
 
Back
Top Bottom