Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo 1.6m umeiona nying Sana? Huo ni mshahara wa dereva Pale ewuraKuna walimu kibao wako TGTS G mshahara wao ni 1.6m dada mpwayungu!
Kwahiyo Bora kuokota makopo kuliko kulipwa 1.6 ambao ukienda bank unadhaminika unaweza kukopa mpaka milioni 50?Kwa hiyo 1.6m umeiona nying Sana? Huo ni mshahara wa dereva Pale ewura
TATE NAKUONA UNAJARIBU KUFURUKUTA KUJINASUA KWENYE KICHAPO CHA mpwayungu villageSasa inakuwaje uwalaumu! na wakati umekiri mwenyewe hakuna wa kuwakomboa zaidi ya kujikomboa wenyewe?
Mabwege tuWalimu, mlimkosea nini huyu jamaa[emoji28][emoji28]
Teaching education in Tanzania is embarrassing Kwa sababu serikali haiwapi haki zaoWalimu kama hoja za Mpwayungu ni za kweli na nyie endeleeni kutoa malalamiko kwa mamlaka husika na sio kupingana na Mpwayungu. Kiukweli mnastahili heshima kubwa kuliko mliyonayo.
Famchezo nini [emoji41]
Kufundisha SI jambo dogo,
Respect kwa walimu wote,
Standing Allowance for the teachers [emoji123]
Shida ukiwatetea wanakusengenya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]#Standing Allowance for the teachers
Kwanza asikutishe hakuna mwalimu huyo hiyo level hufik ushastafu. Halafu kwann nichukue mda mrefu wa zaidi ya miaka 30 kazini kufikia mshahara ambao ni pesa ndogo hata posho Kwa TPDC ni kubwaKwa hiyo 1.6m umeiona nying Sana? Huo ni mshahara wa dereva Pale ewura
Najaribu tu kumsaidia. Maana anaonekana kuwa na msongo wa mawazo kupitiliza, kuhusu walimu na maisha yao.TATE NAKUONA UNAJARIBU KUFURUKUTA KUJINASUA KWENYE KICHAPO CHA mpwayungu village
Malofa hayaDOZI ZINAENDELEA.
NI MWENDO WA MINYUKANO YA HAJA.
Wanamaisha gn punda tu hawaNajaribu tu kumsaidia. Maana anaonekana kuwa na msongo wa mawazo kupitiliza, kuhusu walimu na maisha yao.
Sasa pesa gn hiyo naww [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna walimu kibao wako TGTS G mshahara wao ni 1.6m dada mpwayungu!
Kawabana walimu kwerikweri [emoji1]DOZI ZINAENDELEA.
NI MWENDO WA MINYUKANO YA HAJA.
Chizi wewe achana na mm fata maisha yako hunijui sikujuiMbona we ni mwalimu inajulina,level of education diploma
Machizi tu Hawana nyuma Wala mbele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole sana mkuu inaelekea wamejua kukuchefua.