Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Hata ungekuwa wewe,huwezi kufanya lolote kapuku weweKwa kuwa ndio vinara wa kuisukumia CCM madarakani wanapaswa kushindia mavi ya dagaa wala siyo hao dagaa
Sema hivi shoga vs walimu rijaliMpwayungu vs walimu [emoji23]
zinanyesha⦠nilipo hapa sahivi ndio inaishia ishiaKwa Hali hii mvua zitanyesha kweli
Shoga Hilo achana naloUnavuta mbangi sio bure,tena unavutia chooni
Tatizo naona comment za wadau kuwa jamaa ni shoga hiliWe jamaa uwe unaheshimu kazi za watu.
Kama wasingekuwa hao waalimu kujitolea kukufundisha mpaka ukajua kuandika hiki kiswahili Wala usingekuwa na uwezo wa kuja humu na kuandika hizo pumba zako...
Kw
Kwani shida ikowapi mkuu kila mtu anafanya savings kwa namna anayoweza au wamekuja kulialia kwako
Asikuumize kichwa huyo pungazezeWe jamaa uwe unaheshimu kazi za watu.
Kama wasingekuwa hao waalimu kujitolea kukufundisha mpaka ukajua kuandika hiki kiswahili Wala usingekuwa na uwezo wa kuja humu na kuandika hizo pumba zako.
Hizo chuki unazoendekeza kwa waalimu haziwezi kukuongozea faida yoyote tofauti na kukufanya uonekane mjinga Zaidi mbele za watu.
Wapi uko?ni jambo jemazinanyesha⦠nilipo hapa sahivi ndio inaishia ishia
Geneva of AfricaWapi uko?
Alokwambia dagaa wanakula maskini nani? Dagaa ni chakula bora kuliko nyama mdogo wangu acha ujingaKuna nyumba ya jirani yetu ni mwalimu kila siku wanakula ugali wa muhogo na dagaa wa bukoba, hawa watu Dunia imewatenga hata mimi nimewapiga marufuku Kuja nyumbani kwangu pamoja na watoto wao wasije kuniambukiza pepo la uoga na ufukara
Walimu mnakera ifike hatua mjipende huwa hamuogi nguo zenu ni hizo hizo
Ugumu wako wa maisha usiureflect Kwa wenzio we endelea kutamani kuwa mwana!keNje ya mada your post does not relate the topic at hand
Nimecomment bila kuangalia uzi nani kaanzisha. Kumbe wewe usie na lindaKuna nyumba ya jirani yetu ni mwalimu kila siku wanakula ugali wa muhogo na dagaa wa bukoba, hawa watu Dunia imewatenga hata mimi nimewapiga marufuku Kuja nyumbani kwangu pamoja na watoto wao wasije kuniambukiza pepo la uoga na ufukara
Walimu mnakera ifike hatua mjipende huwa hamuogi nguo zenu ni hizo hizo
Alokwambia dagaa wanakula maskini nani? Dagaa ni chakula bora kuliko nyama mdogo wangu acha ujinga
Uko kweli mna bahati juma lijalo nitakuwepo uko nje ya mji kidogo maeneo ya sumniGeneva of Africa
Hao walimu wanaolawiti wtoto kila sku na hao pia ni wale wale tuNa hukuti mwl shoga
Ndio ila naomba kaa mbali na comment zangu jukwaa lolote lile tafadhaliKumbe umemsoma vizuri kwenye lile bandiko lake