Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

champion wa JF mpwa kama mpwayungu
 
Usicheke mkuu,yeye mwenyewe mwalimu mwenzangu mpwayungu village alishwahi leta thread humu kuwa anasaafiri Kwa V8 Toka dar mpaka bukoba na alipoombwa ushaidi akatuletea picha ya V8 la mtandaoni na watu wakamuumbua

Hivyo hakuna jipya hapa,labda yeye ndo ajaribu kuprove kama hiyo picha ni ya mtandaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…