Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani


Niliposoma tu "title" nikajua tu lazima ni wewe..
 
Hello
 
Nipe hiyo koneksheni mimi
 
Katika nchi ya Demokrasia kuna kitu kinaitwa Free of speech all in all jeuri unaweza kuwa nayo sababu yamkini uko juu kidogo kuna watu wanautamani huo ualimu 🤣🤣
 
Kuwa Shoga ni LAANA si LAANA?
 
Mambo ya kublock block watu ndio umama wenyewe.

No wonder unajuta kuwa mwanaume ila unatamani kuwa ka dada.
 
Mkuu naona unatumia nguvu kubwa kuikataa kazi yako. Nasemajeee nasemajee hata uandike mabandingo ya kutosha hapa jamii forum kuikataa kaI yalo kila mtu anajua wewe ni mwalimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…