Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Nahisi ungetafuta maudhui mengine ya kuendeleza siku JF. Hili la kutukana na kudhihaki walimu lishakinaisha sasa.

Tangu ilipokuwa inachekesha ukiwaandika walimu, ikaja kukera sasa imefikia ku bore.

Hamia kwa kada nyingine sasa chief.
Wapi katukana?

Onesha tusi hapo kwenye hoja ya mleta mada.

Vitendo vya ulawiti vimekithiri kwa walimu sijui ndo imani za kishirikina wanaamini ili wapandishwe madaraja kimazabe walau wapate kamshahara kingi kingi kidogo.

Watu wanaoaminiwa kuwa walezi wa watoto wawapo mashuleni badala yake wamekuwa walawiti.
 
Naona umeamua kutumia kivuli cha walimu ili upate ku-trend jf. Unajidhalilisha tu kwa maoni yangu.

Wengi tusingekuwa hapa kama sio walimu, hata hivyo mbona kada nyingi tu watu hawana hizo pesa, mbona lawama kwa walimu pekee. Hapo ulipo account yako inasoma shilingi ngapi mkuu?
 
Mkuu amka usingizi upo Tanzania, hujui watu wa hii nchi ni wanafiki kupitiliza. Ndohawa utakuta wanasema kwenye vijiwe vya kawaha mwiguru nchemba hawampendi lakini akijitokeza kijiweni yanaamka na kumwachia siti huku meno nje nje utaskia karibu mheshimiwa [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…