Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Solution wanajua ila woga unawaponzaHawa waalimu walikukosea nini mkuu, kuliko kuwananga kila leo wape solutions basi za kujikwamua kiuchumi wakati wakiwa kwenye huo wito.
Kama zipi?Kada zilizobaki zinajitambua
Kuliko kuanzisha uzi mwingine nimeamua kupiga double in one [emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo picha na habari ni mbingu na ardhi.
Wapi katukana?Nahisi ungetafuta maudhui mengine ya kuendeleza siku JF. Hili la kutukana na kudhihaki walimu lishakinaisha sasa.
Tangu ilipokuwa inachekesha ukiwaandika walimu, ikaja kukera sasa imefikia ku bore.
Hamia kwa kada nyingine sasa chief.
Madaktari, wanasheria, wahandisi, masesi etcKama zipi?
Nikuletee na ya masheikh,mapadri,na watu wa kawaida wanalawiti watoto!?Wapi katukana?
Onesha tusi hapo kwenye hoja ya mleta mada...
Ahsee niwe mwalimu mimi? Niyaheri nikauze ming'oko lindiTicha umekunywa chai kweli? Inaonekana umekopa sana mshahara wako unakatwa kinoma[emoji23][emoji23]
hata hiyo habari ya ulawiti hiyo picha sijui inahusiana vipi na habarKuliko kuanzisha uzi mwingine nimeamua kupiga double in one [emoji23][emoji23][emoji23]
Imagine mshahara wa Mwalimu wa Diploma wenye Makato ya mikopo🤣 Halafu mwalimu mwenyewe mgogo mvivuuuu, hana plan B....lazima apagawe.Ticha umekunywa chai kweli? Inaonekana umekopa sana mshahara wako unakatwa kinoma[emoji23][emoji23]
Anajificha kwenye changamoto za walimu,aaaaaahaKama zipi?
Sisi hatudili na nyieImagine mshahara wa Mwalimu wa Diploma wenye Makato ya mikopo🤣 Halafu mwalimu mwenyewe mgogo mvivuuuu, hana plan B....lazima apagawe.
Mkuu amka usingizi upo Tanzania, hujui watu wa hii nchi ni wanafiki kupitiliza. Ndohawa utakuta wanasema kwenye vijiwe vya kawaha mwiguru nchemba hawampendi lakini akijitokeza kijiweni yanaamka na kumwachia siti huku meno nje nje utaskia karibu mheshimiwa [emoji23]Wapi katukana?
Onesha tusi hapo kwenye hoja ya mleta mada.
Vitendo vya ulawiti vimekithiri kwa walimu sijui ndo imani za kishirikina wanaamini ili wapandishwe madaraja kimazabe walau wapate kamshahara kingi kingi kidogo.
Watu wanaoaminiwa kuwa walezi wa watoto wawapo mashuleni badala yake wamekuwa walawiti.