Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #641
Ndio wapoHawa wahandisi wa halmashauri na madaktri wa hospitali za vijijini nao pia ni kundi moja wanastaafu na mil 200 kwenye acount zao kabla ya pesa zao za kiinua mgongo?
AAahahahhAhMi nikifa na njaa wewe si utakuwa umeoza na kidiploma chako🤣🤣🤣
Mwalimu koma nikome! Achana na mimi, hatuwezi vumilia vitendo vya ulawiti Kwa watoto wadogo ima wakubwa.Sasa nadhani unakasoro ndugu! Mwalimu kulawiti haimanishi ni walimu wote.
Kuna mapadre na mashehe wamewahi kuripotiwa kufanya hivyo, je ni mapadre na mashehe wote wanalawiti? Umekosa mvuto kabisa!!
Uongozi wa JF kulea mtu huyu anayedhalilisha kada kubwa na muhimu katika taifa hili(walimu) naamini haiko sawa.
Ni wakati muafaka akaonywa, ili atafute njia sahihi ya kufikisha malalamioko yake kwa nidhamu.
Ni kweli walimu wamedharauliwa na mamlaka kadhaa kutokana na jinsi wanavyotumiwa bila uwiano wa malipo, hii isiwe sababu ya kuhalalisha kila raia wa nchi hii amnange mwalimu.
Huyu ni mwalimu anayejichukiaSasa nadhani unakasoro ndugu! Mwalimu kulawiti haimanishi ni walimu wote.
Kuna mapadre na mashehe wamewahi kuripotiwa kufanya hivyo, je ni mapadre na mashehe wote wanalawiti? Umekosa mvuto kabisa!!
Uongozi wa JF kulea mtu huyu anayedhalilisha kada kubwa na muhimu katika taifa hili(walimu) naamini haiko sawa.
Ni wakati muafaka akaonywa, ili atafute njia sahihi ya kufikisha malalamioko yake kwa nidhamu.
Ni kweli walimu wamedharauliwa na mamlaka kadhaa kutokana na jinsi wanavyotumiwa bila uwiano wa malipo, hii isiwe sababu ya kuhalalisha kila raia wa nchi hii amnange mwalimu.
Wanalawiti mapadri mpaka papa anomaba radhi itakuwa walimuMwalimu koma nikome! Achana na mimi, hatuwezi vumilia vitendo vya ulawiti Kwa watoto wadogo ima wakubwa.
Ila unawatesa sana waalimu.... Na omba wasiwajue wstoto wako..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hakuna mwalimu huyu Kwa msimamo wangu na nalijua hili kwakua najua akili zao za kujiongeza kibiashara ni zero. Ukiona mwalimu ana million mia tu ujue huyo kastafu juzi na baada ya wiki mbili utakuta kanunua pikipiki na anaanza ujenzi wa nyumba ya kimasikini isiyozidi million ishirini
Walimu hawa sijui walimkosea nini mwenyezi Mungu. Jana Kuna mwalimu kalawiti mtoto WA darasa la tatu chooni, yani unafanya mapenzi kwenye vyoooo akili za walimu hizi dah View attachment 2574700
Anataka kuwa mwanamke hao watoto atawatoa wapi mkuuIla unawatesa sana waalimu.... Na omba wasiwajue wstoto wako..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpwayungu mwenyewe kwa mandishi yake amekiri wazi anatamani kuwa mwanamke, huyu ni chizi tu!!Wanalawiti mapadri mpaka papa anomaba radhi itakuwa walimu
Na wewe ni mmoja wao sio?Ndio wapo
Walimu hawawezi kuteswa na shoga, punga!Ila unawatesa sana waalimu.... Na omba wasiwajue wstoto wako..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo alilawitiwa akiwa mtotoMpwayungu mwenyewe kwa mandishi yake amekiri wazi anatamani kuwa mwanamke, huyu ni chizi tu!!
Walimu tutawakemea wakienda kinyume maana ndowalezi wa watoto wetu, kama wana stress za madeni wasituharibie watoto wetuWanalawiti mapadri mpaka papa anomaba radhi itakuwa walimu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ila unawatesa sana waalimu.... Na omba wasiwajue wstoto wako..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ebu lete ule uzi wake aliokua ameenda kusoma ualimu kwa ngazi ya diploma...🤣Teacher in denial
Nitakula na wewe sahani moja
Hao wote Hana shida naoWapo kibao tu binafsi nawafaham kma wanne hivi wapo mkoa wa katavi
No waliku poa wafanya biashara na wakulima wakubwa tu
Na kitu kingine
Usiwachukie sana walimu
Manake kikawaida hakuna mtumishi wa kuwa na milion 200 kwa acc either awe mfanya biashara pia au nje ya mshahara au awe kiongozi wa juu
Awe polis
Awe jwtz
Awe magereza
Awe usalama
Awe halmashaur
Awe wizaran
Awe mkoan
Ngazi ya kata
Au kijiji
M200 awe mwizi au mfanyabiashara ni inawezekana
Usilopoke tu, ivi unajua senior officer tu wa TPDC analipwa bei Gani?Wapo kibao tu binafsi nawafaham kma wanne hivi wapo mkoa wa katavi
No waliku poa wafanya biashara na wakulima wakubwa tu
Na kitu kingine
Usiwachukie sana walimu
Manake kikawaida hakuna mtumishi wa kuwa na milion 200 kwa acc either awe mfanya biashara pia au nje ya mshahara au awe kiongozi wa juu
Awe polis
Awe jwtz
Awe magereza
Awe usalama
Awe halmashaur
Awe wizaran
Awe mkoan
Ngazi ya kata
Au kijiji
M200 awe mwizi au mfanyabiashara ni inawezekana
Yeye si ni mwanasheria mwambie akuoneshe zake200 million cash, unafikiri matako kila mtu awe nayoo... kuna ambao unahisi wanazo na hawana.. kukamata pesa ndefu hakupimwi na kada uliyopo, bali matumizi sahihi ya akili zako na network uliyopo
Achana na TPDCUsilopoke tu, ivi unajua senior officer tu wa TPDC analipwa bei Gani?