Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Ualimu? Labda kama alikuwa mlinzi...!
Aahaaaa
Mkuu ukiposti uwe unanitg
 
Hao wanaosema wapo Madaktari na Wahandisi wapo shule za Private ni waongo na wanafiki wakubwa watupe mfano wa hiyo Shule.. Labda anaongelea walimu wa vyuo vikuu ambao nao ukifika msimu wa uchaguzi wote wanachukua fomu za ccm kugombea ubunge
 
Wewe mbona umeingia kwenye Ushoga eti totoo MpwayunguLicious πŸ³οΈβ€πŸŒˆπŸ³οΈβ€πŸŒˆ
 
Mimi hapa bhana Mpwayungu, niliacha uaskari magereza nikahamia kufundisha nilifundisha miaka 11 bila kujua kuacha uaskari magereza, niliacha ualimu baada ya kupata kazi kwenye organization Fulani ya kawaida sana(Research institute), lakini mpaka leo napenda kufundisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…