Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
AaaaahaaaWewe mwalimu wa diploma uliyekosa ajira utajafa kwa kihoro,nenda kasome huenda ukapata ajira,shubamiti
AhahaaaaaKwahiyo ulisomea ualimu?,
ila uko hapa unawaponfa waalimu!
Wewe jamaa mbaya sana,uzuri ni mgogo,IQ yako ina walakini;
AahaaaaUalimu? Labda kama alikuwa mlinzi...!
Mkuu ukiposti uwe unanitgNashuhudia wimbi la walimu kwenda kusoma sheria, daktari, uhandisi nk lakini sijaona tangu kuzaliwa kwangu mtumishi wa kada nyingine kama sheria na afya akasomee ualimu ili awe mwalimu.
Walimu mjitathimin, msipofanya mapinduzi kwenye sekta yenu nitawala za kichwa kila siku dadeki. Anzeni kudili na wakuu wa shule hao wanapandikizwa sumu kwenye vikao vyao halmashauri, baada ya hapo pondeni wasagike viongozi wote wa CWT, TUCTA, TSC namatokolinyo yote.
Lastly ingieni barabarani kufanya revolution ya kibabe ili mshinikize muanze kupewa teaching allowance
AaahahahaahUhuuhuhuhu mkuu nyie ccm ndomnasaidiwa kwenye uchaguzi na hawa vilaza
Adui wa mwalimu ni mwalimu .Kwa ufaulu huu naweza kupata nafasi ya kusoma UDSM main kampasi?
Mimi nimhitimu wa chuo cha ualimu x ngazi ya kati yaani diploma nimepata GPA ya 3.6 SWALI: Je, kwa ufaulu huu naweza kupata nafasi yakusoma shahada i.e. Bachelor chuo kikuu UDSM main kampasi? Wenye uzoefu tafadhali ili kama main campus kuna compitition nisitupe 10000 yangu niaply Teofilo Kisanji.www.jamiiforums.com
Kumbe jamaa ni mwalimuπKwa ufaulu huu naweza kupata nafasi ya kusoma UDSM main kampasi?
Mimi nimhitimu wa chuo cha ualimu x ngazi ya kati yaani diploma nimepata GPA ya 3.6 SWALI: Je, kwa ufaulu huu naweza kupata nafasi yakusoma shahada i.e. Bachelor chuo kikuu UDSM main kampasi? Wenye uzoefu tafadhali ili kama main campus kuna compitition nisitupe 10000 yangu niaply Teofilo Kisanji.www.jamiiforums.com
Ila yeye ni failed teacherKumbe jamaa ni mwalimuπ
Ndo maana anauchukia ualimu. Sasa kama ni failure ndo awachukie walimu?Ila yeye ni failed teacher
Udhaifu wake asiupeleke Kwa wengine,apambane naoNdo maana anauchukia ualimu. Sasa kama ni failure ndo awachukie walimu?
Pungazeze Hilo achana nalo mkuuUkiacha mpwa kuwa mwl. PiA mpwa GAY FLAG angalia coments hiz kwa ushahidView attachment 2574963
Poor africansUkiacha mpwa kuwa mwl. PiA mpwa GAY FLAG angalia coments hiz kwa ushahidView attachment 2574963
Mimi hapa bhana Mpwayungu, niliacha uaskari magereza nikahamia kufundisha nilifundisha miaka 11 bila kujua kuacha uaskari magereza, niliacha ualimu baada ya kupata kazi kwenye organization Fulani ya kawaida sana(Research institute), lakini mpaka leo napenda kufundisha!Nashuhudia wimbi la walimu kwenda kusoma sheria, daktari, uhandisi nk lakini sijaona tangu kuzaliwa kwangu mtumishi wa kada nyingine kama sheria na afya akasomee ualimu ili awe mwalimu.
Walimu mjitathimin, msipofanya mapinduzi kwenye sekta yenu nitawala za kichwa kila siku dadeki. Anzeni kudili na wakuu wa shule hao wanapandikizwa sumu kwenye vikao vyao halmashauri, baada ya hapo pondeni wasagike viongozi wote wa CWT, TUCTA, TSC namatokolinyo yote.
Lastly ingieni barabarani kufanya revolution ya kibabe ili mshinikize muanze kupewa teaching allowance