Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Ualimu? Labda kama alikuwa mlinzi...!
Aahaaaa
Nashuhudia wimbi la walimu kwenda kusoma sheria, daktari, uhandisi nk lakini sijaona tangu kuzaliwa kwangu mtumishi wa kada nyingine kama sheria na afya akasomee ualimu ili awe mwalimu.

Walimu mjitathimin, msipofanya mapinduzi kwenye sekta yenu nitawala za kichwa kila siku dadeki. Anzeni kudili na wakuu wa shule hao wanapandikizwa sumu kwenye vikao vyao halmashauri, baada ya hapo pondeni wasagike viongozi wote wa CWT, TUCTA, TSC namatokolinyo yote.

Lastly ingieni barabarani kufanya revolution ya kibabe ili mshinikize muanze kupewa teaching allowance
Mkuu ukiposti uwe unanitg
 
Hao wanaosema wapo Madaktari na Wahandisi wapo shule za Private ni waongo na wanafiki wakubwa watupe mfano wa hiyo Shule.. Labda anaongelea walimu wa vyuo vikuu ambao nao ukifika msimu wa uchaguzi wote wanachukua fomu za ccm kugombea ubunge
 
Wewe mbona umeingia kwenye Ushoga eti totoo MpwayunguLicious 🏳️‍🌈🏳️‍🌈
 
Ukiacha mpwa kuwa mwl. PiA mpwa GAY FLAG angalia coments hiz kwa ushahid
Screenshot_20230403-134557.jpg
 
Nashuhudia wimbi la walimu kwenda kusoma sheria, daktari, uhandisi nk lakini sijaona tangu kuzaliwa kwangu mtumishi wa kada nyingine kama sheria na afya akasomee ualimu ili awe mwalimu.

Walimu mjitathimin, msipofanya mapinduzi kwenye sekta yenu nitawala za kichwa kila siku dadeki. Anzeni kudili na wakuu wa shule hao wanapandikizwa sumu kwenye vikao vyao halmashauri, baada ya hapo pondeni wasagike viongozi wote wa CWT, TUCTA, TSC namatokolinyo yote.

Lastly ingieni barabarani kufanya revolution ya kibabe ili mshinikize muanze kupewa teaching allowance
Mimi hapa bhana Mpwayungu, niliacha uaskari magereza nikahamia kufundisha nilifundisha miaka 11 bila kujua kuacha uaskari magereza, niliacha ualimu baada ya kupata kazi kwenye organization Fulani ya kawaida sana(Research institute), lakini mpaka leo napenda kufundisha!
 
Back
Top Bottom