linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,724
- 4,381
Duuh!!! Shoga kabisa huyu hapa amejitambulisha kabisa. Hii sio lugha ya kiume. Eti koma [emoji108][emoji108][emoji108]Mwalimu koma nikome! Achana na mimi, hatuwezi vumilia vitendo vya ulawiti Kwa watoto wadogo ima wakubwa.
Mashoga hawana watotoIla unawatesa sana waalimu.... Na omba wasiwajue wstoto wako..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe lijinga hata kuandika vizuri Kiswahili halijui.Usilopoke tu, ivi unajua senior officer tu wa TPDC analipwa bei Gani?
Anapaswa kuwapenda kwa kumrahisishia njia ya kuwa mwanamke ili aolewe aishi kwa kumtegemea mumeweWalimulawiti hivyo Kila siku akiwaona ni lazima wapondeee
Umegonga mule mule mkuuAnapaswa kuwapenda kwa kumrahisishia njia ya kuwa mwanamke ili aolewe aishi kwa kumtegemea mumewe
AahaaaajHapa ulitamani ungelawitiwa wewe
Tena kwa ushahidi wa videoHawa wanaokufariji kwenye huu ujinga wako hatudili nao
Siye na wewe tu
Mpaka unapokaa tutayajua,mpka upo na unafanya nini tutapajua Ili tuprove haya unayoyaandika humu huko field hapo
Jiandae
Usimlaumu mkuu,inawezekana matarajio yamekuwa tofauti kwa hiyo ana makasirikoNaona umeamua kutumia kivuli cha walimu ili upate ku-trend jf. Unajidhalilisha tu kwa maoni yangu.
Wengi tusingekuwa hapa kama sio walimu, hata hivyo mbona kada nyingi tu watu hawana hizo pesa, mbona lawama kwa walimu pekee. Hapo ulipo account yako inasoma shilingi ngapi mkuu?
Huyo ndo mpambanaji kama MimiSiongei kwa kukuoppose hoja yako..ni kweli ni nadra sana mwalimu kua na hela kiasi hcho
Ila mm nina mfano hai Baba mkubwa wangu alikua ni mwalimu amestaafu mwaka juzi...asingeugua kipindi flani angekua tajiri haswaaa
Alikua ana hela sana sjui unaelewa ninavyosema alikua ana hela na hajawah kuacha kazi yake ya ualimu mpaka anastaafu ..
We subiri tuTena kwa ushahidi wa video
Hahahaha ameaibika huyu chiziKwa ufaulu huu naweza kupata nafasi ya kusoma UDSM main kampasi?
Mimi nimhitimu wa chuo cha ualimu x ngazi ya kati yaani diploma nimepata GPA ya 3.6 SWALI: Je, kwa ufaulu huu naweza kupata nafasi yakusoma shahada i.e. Bachelor chuo kikuu UDSM main kampasi? Wenye uzoefu tafadhali ili kama main campus kuna compitition nisitupe 10000 yangu niaply Teofilo Kisanji.www.jamiiforums.com
Mpuuzi wew kumbe una ka diploma? Tena ka 3.6?Uhuuhuhuhu mkuu nyie ccm ndomnasaidiwa kwenye uchaguzi na hawa vilaza
Akili yake inamtosha kupanda fisi Hapo berege tuKwahiyo ulisomea ualimu?,
ila uko hapa unawaponfa waalimu!
Wewe jamaa mbaya sana,uzuri ni mgogo,IQ yako ina walakini;
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]ameumbuka vibayaWewe mwalimu wa diploma uliyekosa ajira utajafa kwa kihoro,nenda kasome huenda ukapata ajira,shubamiti
Teknolojia imemuumbuaAhahaaaaa
mpwayungu village ana IQ ndogo sana
Mzee wangu alisoma bachelor ya General agriculture pale sua miaka ya 90 then aka fanya postgraduate ya education udsm ili awe ticha, amestaafu kama afisa elimu, ualimu mbona ulimlipa fresh tu na alikuwa anaupenda damuni yaaniNashuhudia wimbi la walimu kwenda kusoma sheria, daktari, uhandisi nk lakini sijaona tangu kuzaliwa kwangu mtumishi wa kada nyingine kama sheria na afya akasomee ualimu ili awe mwalimu.
Walimu mjitathimin, msipofanya mapinduzi kwenye sekta yenu nitawala za kichwa kila siku dadeki. Anzeni kudili na wakuu wa shule hao wanapandikizwa sumu kwenye vikao vyao halmashauri, baada ya hapo pondeni wasagike viongozi wote wa CWT, TUCTA, TSC namatokolinyo yote.
Lastly ingieni barabarani kufanya revolution ya kibabe ili mshinikize muanze kupewa teaching allowance
Hujatembea ndugu yangu, nakupa ushuhuda nakutajia na wilaya kabisa. Nilimkuta mwalimu wilaya ya Kiteto nahifadhi jina la shule yule mwalimu tulimkuta ana fuso 4 gari ndogo ya kutembelea na guest house mbili na bar. Kizuri zaidi jamaa anaipenda kaxi yake ya ualimu balaa mpaka maafisa elimu kila siku yeye ndio mfano kwa utendaji mzuri ktk shule yake na ndio mwalimu mkuu wa hiyo shuleHakuna mwalimu huyu Kwa msimamo wangu na nalijua hili kwakua najua akili zao za kujiongeza kibiashara ni zero. Ukiona mwalimu ana million mia tu ujue huyo kastafu juzi na baada ya wiki mbili utakuta kanunua pikipiki na anaanza ujenzi wa nyumba ya kimasikini isiyozidi million ishirini.
Walimu hawa sijui walimkosea nini mwenyezi Mungu. Jana Kuna mwalimu kalawiti mtoto wa darasa la tatu chooni, yani unafanya mapenzi kwenye vyoooo akili za walimu hizi dah.