mkuu vyuo vya ualimu bado vilikua chini ya moe wala havikua Nacte so usajiri wake haukua/haupo mteremko hivyo unavyosema kama vyuo vya IT huyu jamaa ameongea ----- wa kutunga kashindwa kujibu japo kama ulivyopost si unaona amekimbia
jaman kwan kosa la mleta post ni lipi mbona naona mnamshambulia kwa matusi?