Walimu mpo wengi mkiamua kuandamana hakuna wakuwashinda, jitambueni

Walimu mpo wengi mkiamua kuandamana hakuna wakuwashinda, jitambueni

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Sijui uoga wa nini ilihali mnaishi maisha mabovu, hivi mnashindwa kukiwasha ani, hata ccm watume mapolisi laki moja hawatawaweza nyinyi mpo wengi mnashinda

Sasa mnaishi maisha ya kutupwa jalalani afu mnakuwa waoga kudai nyongeza ya mishahara, maisha yanapanda, vitu bei juu lkn mpaka leo maticha mnapokea laki 4 kwa siku 31. Iyo pesa ndogo sana.

Naombeni muungane mkiwashe, au kwakuwasaidia undeni group la WhatsApp Kila halmashauri afu mkutane kitaifa Sasa.
20241115_082705.jpg
 
Zama hizi hamna haja ya kuandamana ukiona kazi haikunufaishi unaiacha tu na kesho Asubuhi nafasi yako inakua replaced, mtaani watu wenye taaluma kibao hawana kazi, kama wako kimya na wanafanya kazi maana yake hawana tatizo maslahi yanatosha
 
Zama hizi hamna haja ya kuandamana ukiona kazi haikunufaishi unaiacha tu na kesho Asubuhi nafasi yako inakua replaced, mtaani watu wenye taaluma kibao hawana kazi, kama wako kimya na wanafanya kazi maana yake hawana tatizo maslahi yanatosha
Hapana hii nakataaa, uwepo wa watu wanaotafuta ajira haiwezi ikawa mwiba wa kukandamiza haki za walimu
 
Waalimu wa certificate waende shule hata kama umri umeenda. Ni kwa nini msiwaache tu wamalize ila muanze kuajiri kuanzia diploma shule za msingi? Mshahara kidogo ila wajilipie wenyewe, hii imekaaje?
 
Back
Top Bottom