Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Sifa kubwa ya kuwa mwalimu ni utahila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣Sifa kubwa ya kuwa mwalimu ni utahila
Duu halafu wewe jamani😀😀, ila Mimi sijasema jamani.Sifa kubwa ya kuwa mwalimu ni utahila
Kweli mishahara ya walimu ifanyiwe review au waweke teaching allowance.Hapana hii nakataaa, uwepo wa watu wanaotafuta ajira haiwezi ikawa mwiba wa kukandamiza haki za walimu
Acha dharau bila mwalimu ungefika hapo.Sifa kubwa ya kuwa mwalimu ni utahila
Idadi ya waalimu inazidi idadi ya wanachadema?Sijui uoga wa nini ilihali mnaishi maisha mabovu, hivi mnashindwa kukiwasha ani, hata ccm watume mapolisi laki moja hawatawaweza nyinyi mpo wengi mnashinda
Sasa mnaishi maisha ya kutupwa jalalani afu mnakuwa waoga kudai nyongeza ya mishahara, maisha yanapanda, vitu bei juu lkn mpaka leo maticha mnapokea laki 4 kwa siku 31. Iyo pesa ndogo sana.
Naombeni muungane mkiwashe, au kwakuwasaidia undeni group la WhatsApp Kila halmashauri afu mkutane kitaifa Sasa. View attachment 3159767
Ukiona jamaa kaibuka na walimu hasa kipindi hiki jua ana barua ya "Kazi Maalum" NECTA! Ahahahahaha! Hapo ana wakoga wenzie!!!!Mkuu upo ?😂😂
Sijui uoga wa nini ilihali mnaishi maisha mabovu, hivi mnashindwa kukiwasha ani, hata ccm watume mapolisi laki moja hawatawaweza nyinyi mpo wengi mnashinda
Sasa mnaishi maisha ya kutupwa jalalani afu mnakuwa waoga kudai nyongeza ya mishahara, maisha yanapanda, vitu bei juu lkn mpaka leo maticha mnapokea laki 4 kwa siku 31. Iyo pesa ndogo sana.
Naombeni muungane mkiwashe, au kwakuwasaidia undeni group la WhatsApp Kila halmashauri afu mkutane kitaifa Sasa. View attachment 3159767
Laki 4 shule ya msingi hao.Sijui uoga wa nini ilihali mnaishi maisha mabovu, hivi mnashindwa kukiwasha ani, hata ccm watume mapolisi laki moja hawatawaweza nyinyi mpo wengi mnashinda
Sasa mnaishi maisha ya kutupwa jalalani afu mnakuwa waoga kudai nyongeza ya mishahara, maisha yanapanda, vitu bei juu lkn mpaka leo maticha mnapokea laki 4 kwa siku 31. Iyo pesa ndogo sana.
Naombeni muungane mkiwashe, au kwakuwasaidia undeni group la WhatsApp Kila halmashauri afu mkutane kitaifa Sasa. View attachment 3159767