Walimu mpo wengi mkiamua kuandamana hakuna wakuwashinda, jitambueni

Walimu mpo wengi mkiamua kuandamana hakuna wakuwashinda, jitambueni

Sijui uoga wa nini ilihali mnaishi maisha mabovu, hivi mnashindwa kukiwasha ani, hata ccm watume mapolisi laki moja hawatawaweza nyinyi mpo wengi mnashinda

Sasa mnaishi maisha ya kutupwa jalalani afu mnakuwa waoga kudai nyongeza ya mishahara, maisha yanapanda, vitu bei juu lkn mpaka leo maticha mnapokea laki 4 kwa siku 31. Iyo pesa ndogo sana.

Naombeni muungane mkiwashe, au kwakuwasaidia undeni group la WhatsApp Kila halmashauri afu mkutane kitaifa Sasa. View attachment 3159767
Idadi ya waalimu inazidi idadi ya wanachadema?
Halafu unaongelea waalimu gani, wa serikali au binafsi? Shule za msingi au hata vyuo na vyuo vikuu?
Kuna waalimu matajiri kama prof Kabudi, Dr. Bashiru, prof Shivji nk, kuna na wale dizaini za Mpwayungu Village nk.
 
Sijui uoga wa nini ilihali mnaishi maisha mabovu, hivi mnashindwa kukiwasha ani, hata ccm watume mapolisi laki moja hawatawaweza nyinyi mpo wengi mnashinda

Sasa mnaishi maisha ya kutupwa jalalani afu mnakuwa waoga kudai nyongeza ya mishahara, maisha yanapanda, vitu bei juu lkn mpaka leo maticha mnapokea laki 4 kwa siku 31. Iyo pesa ndogo sana.

Naombeni muungane mkiwashe, au kwakuwasaidia undeni group la WhatsApp Kila halmashauri afu mkutane kitaifa Sasa. View attachment 3159767

Mkuu kwani huku ACT, CUF, UMD, Chausta, DP au join the chain tuko wachache?

Kwani yanayoendelea huko kwenye chaguzi tunamsubiria Yesu?
 
Sijui uoga wa nini ilihali mnaishi maisha mabovu, hivi mnashindwa kukiwasha ani, hata ccm watume mapolisi laki moja hawatawaweza nyinyi mpo wengi mnashinda

Sasa mnaishi maisha ya kutupwa jalalani afu mnakuwa waoga kudai nyongeza ya mishahara, maisha yanapanda, vitu bei juu lkn mpaka leo maticha mnapokea laki 4 kwa siku 31. Iyo pesa ndogo sana.

Naombeni muungane mkiwashe, au kwakuwasaidia undeni group la WhatsApp Kila halmashauri afu mkutane kitaifa Sasa. View attachment 3159767
Laki 4 shule ya msingi hao.
 
Back
Top Bottom