Walimu msipojirekebisha tutawatenga

Walimu msipojirekebisha tutawatenga

Ifike pahala mjitambue vinginevyo maisha yangu yote sitaki kuwaona mnakuja nyumban kwangu kuomba niwakopeshe, nimewaonya vyakutosha sasa nyie naona hamskii mpaka mambo yenu yanaongelewa vibaya na wananchi

Achana na mambo yakuchapa hovyo wanafunzi Kwa stress zenu, acha kukopa kopa ovyo madeni sio mazuri, halafu manguo ya panga Boi yamekuwa outdated vaeni nguo nzuri. Pendezeni, fanyeni biashara nje ya ualimu

Kuweni wapambanaji smart, msiburutwe ovyo tu kila agizo mnapokea. Ikitokea Kuna haki inaminywa kuweni mstari wa mbele kudai ikiwezekana unapokonya kabisa maana haki haiombwi, hata hivyo acheni usengenyaji na unafiki makazini aduni ni nyie Kwa nyie yani unakuta jalimu unalitetea halafu linakuchukia View attachment 2532374View attachment 2532375View attachment 2532376
Huyu Mpwayungu Village nilishaona ni Psychopathy kuna nut kichwani hazipo sawa ,,.Watanzania wengi wanaishi maisha magumu sana wengine hata huo ualimu wanaomba waupate ilimradi wakomboe familia zao ,wewe apo kichwa panzi usie na kazi town unaleta mada za mihemuko ebu mods huyu apigwe ban ya maisha hii forum inachafuliwa na wavuta bangi..na ma gay
 
Kwahiyo tuendelee kuona wanapata msoto au tupaze sauti wawe na wao wanapewa posho
Kuna watumishi Wana maisha magumu kuliko walimu,Kwa mfano maaskari,sema walimu wanaonekana mapema Kwa sababu ni kundi kubwa.Halafu hii kazi ni nyepesi,piga chaki waelewe wasielewa watajua wenyewe na serikali Yao,Mimi huyo mtaani fanya udalali,simamia baa yangu n.k.Na Bado nina motivation ya kula videnti vijanja vijanja vizuuuri vinavyojipendekekeza kwangu.
Hao walimu unaowaongelea wewe labda wa kijijini kwenu
 
Kuna watumishi Wana maisha magumu kuliko walimu,Kwa mfano maaskari,sema walimu wanaonekana mapema Kwa sababu ni kundi kubwa.Halafu hii kazi ni nyepesi,piga chaki waelewe wasielewa watajua wenyewe na serikali Yao,Mimi huyo mtaani fanya udalali,simamia baa yangu n.k.Na Bado nina motivation ya kula videnti vijanja vijanja vizuuuri vinavyojipendekekeza kwangu.
Hao walimu unaowaongelea wewe labda wa kijijini kwenu
Mwalimu unakula wanafunz? [emoji15]Ngoja tukureport
 
Back
Top Bottom