Haiku
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 2,915
- 2,050
Kwani wanakula kwenu!?, Kuna watu wanamadeni makubwa kuliko walimu.
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijawahi kukopa, nina dili zangu zingine kusapoti mshahara wangu usiwe na makato mengiWe hukopi
Huyu Mpwayungu Village nilishaona ni Psychopathy kuna nut kichwani hazipo sawa ,,.Watanzania wengi wanaishi maisha magumu sana wengine hata huo ualimu wanaomba waupate ilimradi wakomboe familia zao ,wewe apo kichwa panzi usie na kazi town unaleta mada za mihemuko ebu mods huyu apigwe ban ya maisha hii forum inachafuliwa na wavuta bangi..na ma gayIfike pahala mjitambue vinginevyo maisha yangu yote sitaki kuwaona mnakuja nyumban kwangu kuomba niwakopeshe, nimewaonya vyakutosha sasa nyie naona hamskii mpaka mambo yenu yanaongelewa vibaya na wananchi
Achana na mambo yakuchapa hovyo wanafunzi Kwa stress zenu, acha kukopa kopa ovyo madeni sio mazuri, halafu manguo ya panga Boi yamekuwa outdated vaeni nguo nzuri. Pendezeni, fanyeni biashara nje ya ualimu
Kuweni wapambanaji smart, msiburutwe ovyo tu kila agizo mnapokea. Ikitokea Kuna haki inaminywa kuweni mstari wa mbele kudai ikiwezekana unapokonya kabisa maana haki haiombwi, hata hivyo acheni usengenyaji na unafiki makazini aduni ni nyie Kwa nyie yani unakuta jalimu unalitetea halafu linakuchukia View attachment 2532374View attachment 2532375View attachment 2532376
Huo uongo,makato yahavuki 1/3Waalimu wanakopa sana aisee dah. Yn kuna jamaa madeni imefika point kwnye mshahara anabaki na 70 elfu tu. Na ni mwalimu wa degree.
Chogo Credit si babati huko[emoji851][emoji851][emoji851]Ameamua kuvunja sheria ya moja ya tatu lazima ATM card yako iko kwa wadau wa maendeleo akina chogo credit
Mbona kwenye ajira wanaomba kama ni laana,?Kwa nchi kama Tanzania..ualimu ni sawa na laana sabb ni hii
Ualimu=umaskini
Ualimu=chawa wa ccm
Ualimu=kutojitambua
Unamsagia kunguni sio
hawana option nyengine...lakin Kwa Tanzania hii walimu wanafanywa duni na wanasiasa..Mbona kwenye ajira wanaomba kama ni laana,?
Huenda anaacha kadi huwez juaHuo uongo,makato yahavuki 1/3
Kwasababu wanaoomba wamelaniwa piaMbona kwenye ajira wanaomba kama ni laana,?
Tumia browserApplication yangu inashindwa kufungua picha nyingi, n kwa nn
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kuna watumishi Wana maisha magumu kuliko walimu,Kwa mfano maaskari,sema walimu wanaonekana mapema Kwa sababu ni kundi kubwa.Halafu hii kazi ni nyepesi,piga chaki waelewe wasielewa watajua wenyewe na serikali Yao,Mimi huyo mtaani fanya udalali,simamia baa yangu n.k.Na Bado nina motivation ya kula videnti vijanja vijanja vizuuuri vinavyojipendekekeza kwangu.Kwahiyo tuendelee kuona wanapata msoto au tupaze sauti wawe na wao wanapewa posho
Huna jipya wewe.endelea kula mihogo na kupiga porojo jf wakati wenzako wanakula maishaSio kweli, walimu ndowananyonywa shida walimu wamezubaa sana
Duuh BOT tenaNadhani BOT ndiyo alaumiwe kwa kushindwa simamia vizuri taratibu za kukopesha
Mwalimu unakula wanafunz? [emoji15]Ngoja tukureportKuna watumishi Wana maisha magumu kuliko walimu,Kwa mfano maaskari,sema walimu wanaonekana mapema Kwa sababu ni kundi kubwa.Halafu hii kazi ni nyepesi,piga chaki waelewe wasielewa watajua wenyewe na serikali Yao,Mimi huyo mtaani fanya udalali,simamia baa yangu n.k.Na Bado nina motivation ya kula videnti vijanja vijanja vizuuuri vinavyojipendekekeza kwangu.
Hao walimu unaowaongelea wewe labda wa kijijini kwenu