luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Sasa MBNA thread zako za nyuma ulikuwa unaomba ajira? Au tukuumbue kwa screenshot? Chizi kabisa WEWE mwalimu mpwayunguMimi sio mwalimu kuwa mwalimu ni shida sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa MBNA thread zako za nyuma ulikuwa unaomba ajira? Au tukuumbue kwa screenshot? Chizi kabisa WEWE mwalimu mpwayunguMimi sio mwalimu kuwa mwalimu ni shida sana
All in all ukitaka mke bora oa mwalimu
Au nasema uongo ndugu zanguuu
Utakuta dume zima linatikisa matako ili lipate wateja likimkandia mwalimu!!Kwa nchi kama Tanzania..ualimu ni sawa na laana sabb ni hii
Ualimu=umaskini
Ualimu=chawa wa ccm
Ualimu=kutojitambua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walimu njooni! Kumekucha huku! [emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tupumzishe mkuu, kila siku sisi tuu
[emoji23][emoji23][emoji23]Hawa viumbe sijui akili zao zikoje, huwa wanaambukizana akili mbovu utadhani wanakunywa maji ya kisima kimoja. Moja akifanya upuuzi wake wote wanaigana, huyu akikopa na yule anakopa, mwisho wa siku wanalemewa na madeni na kuiona kazi ya ualimu ni chungu kumbe kosa ni kuigana ujinga
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa MBNA thread zako za nyuma ulikuwa unaomba ajira? Au tukuumbue kwa screenshot? Chizi kabisa WEWE mwalimu mpwayungu
Bora ahseeMwalimu unakula wanafunz? [emoji15]Ngoja tukureport
HhhahahaHuna jipya wewe.endelea kula mihogo na kupiga porojo jf wakati wenzako wanakula maisha