Walimu msipojirekebisha tutawatenga

Walimu msipojirekebisha tutawatenga

Hawa viumbe sijui akili zao zikoje, huwa wanaambukizana akili mbovu utadhani wanakunywa maji ya kisima kimoja. Moja akifanya upuuzi wake wote wanaigana, huyu akikopa na yule anakopa, mwisho wa siku wanalemewa na madeni na kuiona kazi ya ualimu ni chungu kumbe kosa ni kuigana ujinga
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom