Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Utakuwa hujui Kiingereza wewe! Utakuwa unawaita kama tulivyokuwa tunaita shule ya msingi bila kujua tofauti kati ya wa kike na wa kiume!Umechemka lakini. Kwenye kamusi yoyote ya Kiingereza hakuna neno "monitress." Labda kwenye Tanzanian English!