Walimu Sekondari ya Aga Khan wagoma kisa Ubaguzi wa Rangi

Walimu Sekondari ya Aga Khan wagoma kisa Ubaguzi wa Rangi

Yaani mpaka wamefikia Kugoma, basi tujue ukweli kwamba hali ni mbaya sana. Huyo HR Msaidizi ni Mtanzania na kwa kauli yake hiyo inaonyesha wazi anawatetea Wahindi.

Jiwe mwenyewe alishindwa kwa Mr. Aga Khan pamoja na kukutana Uso kwa Uso; kuhusu Bima ya Afya ya Taifa (NHIF) kupokelewa katika Hospitali zake na wananchi waliliongelea sana hili suala mpaka aibu lakini mpaka kesho bado 'Ngoma Ngumu'.

Sembuse hili la Unyanyasaji wa Walimu Wazawa? Serikali ile ile tuitegemee tena!!?

Nawatakieni Kila la Kheri.
Muhimbili ipo kwanini unganganie Agakhan?
 
Hao wengi sio wageni ni watznia wenye asiri ya kihindi, hiyo issue inaweza kutatuliwa na CWT, au ukaguzi au uthibiti ubora mashuleni lakini nacho jua hamna mtu anae toa rushwa kubwa kama Mhindi, hapa tunapo ongea mkrugenzi wa tasisi za aghakan taifa atakua tayari kashapanga ratiba ya kuonana na waziri wa elimu tayari kumueleza hari halisi.
Mbona kwenye habari wanasema ni wageni...Hivi CWT wana msaada kweli?
 
Ukishakaa na Rostam Aziz akasema sio Mtz?
Tatizo mnapenda bagua ndo maana mnabaguliwa

Ni kinyune chake, Watanzania wanabaguliwa kwenye nchi yao kwa sababu siyo wabaguzi au Watanzania ni dhaifu na wanashindwa kujiweka kwanza kama tungejipendelea sisi tusingebaguliwa.

Kwa hiyo unaamini kabisa Rostamu anajiona Mwafrika na anakuthamini? Unajua kwa nini Kampuni yake kaiita Caspian? Watu kama wewe ndio sababu ya Watanzania kubaguliwa na kulia lia kubaguliwa kila siku na kila mahali kwenye Nchi yao wenyewe, mlipigania Manji hivyo hivyo leo hii Manji yuko wapi kama alikuwa ni Mtanzania na aliwathamini?
 
Hospital zipi hizo Mkuu ambazo hazipokei bima ya NHIF? Unamaanissha zile za Aghakan Hospital? Mbona Mara nyingi Mimi natibiwa kwa hizo hospital kwa kutumia bima ya NHIF, Kuna Ile ya mwanza, nimeenda Mara nyingi, ya mbeya nimeenda maranyingi, pia Bunda- Mara nako wana hospital nimewahi fika.

Labda Kama Kuna Aghakan hospital zingine tofauti na hizi ninazozitambua Mimi!
Wewe umeenda mara nyingi kufanya nini au una tatizo na kiafya?
 
Hakuna atakayewasikia, na wala hakuna anayejali.

Poleni
 
Daah, nimesoma hapo 2003 - 2006. Ila Sikuwahi kukutana na ubaguzi wa rangi kiukweli, labda kama ndio wameanza sasa.

Ila nilichogundua kwa wanafunzi wa kihindi ni wivu kwa wenzao waKiafrika pale wanapofanya vizuri zaidi yao kwenye mitihani. Yaani ukishika namba moja darasani basi utaona wanavyokuangalia kwa jicho la husda, yaani ni kama hawategemei Muafrika awe bright kuliko wao
 
Huu unaguzi wa ndani ya nchi utaisha pale Watanzania tutakapo wacha kulalamika na tuchukue hatua
Una akili sana kongole. Shida ipo hapo sisi niwatu wakubofya kibodi tu na kulalamika mitandaoni but ukija mitaani sisi ndowakwanza kuwashobokea hususani dada zetu hawa yani wanawashobokea sana wahindi
 
Hapo hutasikia mwanaharakati yeyote akipaza sauti kukumea haya maonevu coz hawana maslahi na hao waalimu hii ndio Tanzania.
 
Back
Top Bottom