Muhimbili ipo kwanini unganganie Agakhan?Yaani mpaka wamefikia Kugoma, basi tujue ukweli kwamba hali ni mbaya sana. Huyo HR Msaidizi ni Mtanzania na kwa kauli yake hiyo inaonyesha wazi anawatetea Wahindi.
Jiwe mwenyewe alishindwa kwa Mr. Aga Khan pamoja na kukutana Uso kwa Uso; kuhusu Bima ya Afya ya Taifa (NHIF) kupokelewa katika Hospitali zake na wananchi waliliongelea sana hili suala mpaka aibu lakini mpaka kesho bado 'Ngoma Ngumu'.
Sembuse hili la Unyanyasaji wa Walimu Wazawa? Serikali ile ile tuitegemee tena!!?
Nawatakieni Kila la Kheri.
Kima Cha chini Cha mshahara ( sekta binafsi) Ni Tsh 150,000 kwahiyo hata ukipewa laki 2 huna Cha kudaiUmenikumbusha yule Kanjibayi tajiri sana TZ anayewalipa wasomi wenye bachelor degrees mishahara ya 300, 000/= kwa kila mwezi [emoji16]
Mbona kwenye habari wanasema ni wageni...Hivi CWT wana msaada kweli?Hao wengi sio wageni ni watznia wenye asiri ya kihindi, hiyo issue inaweza kutatuliwa na CWT, au ukaguzi au uthibiti ubora mashuleni lakini nacho jua hamna mtu anae toa rushwa kubwa kama Mhindi, hapa tunapo ongea mkrugenzi wa tasisi za aghakan taifa atakua tayari kashapanga ratiba ya kuonana na waziri wa elimu tayari kumueleza hari halisi.
Dude lipi?Wakiondoka na wewe utarudi kwenu gamboshi kama lile dude lenu
Tofauti na hazina uhusianoKuuliza SIO ujinga Shaban Robert na Aga Khan mzizima ni SHULE mbili tofauti au moja?
Msaada
Ukishakaa na Rostam Aziz akasema sio Mtz?
Tatizo mnapenda bagua ndo maana mnabaguliwa
Wewe umeenda mara nyingi kufanya nini au una tatizo na kiafya?Hospital zipi hizo Mkuu ambazo hazipokei bima ya NHIF? Unamaanissha zile za Aghakan Hospital? Mbona Mara nyingi Mimi natibiwa kwa hizo hospital kwa kutumia bima ya NHIF, Kuna Ile ya mwanza, nimeenda Mara nyingi, ya mbeya nimeenda maranyingi, pia Bunda- Mara nako wana hospital nimewahi fika.
Labda Kama Kuna Aghakan hospital zingine tofauti na hizi ninazozitambua Mimi!
Nadhan anamaanisha JiweDude lipi?
Mkono alikuwa na hela mpaka aliajiri wazungu kama office assistants, wanapokea wageni, na kuwapa chai!Tafuta hela
Ni shule 2 tofauti mkuuKuuliza SIO ujinga Shaban Robert na Aga Khan mzizima ni SHULE mbili tofauti au moja?
Msaada
Yule ana uraia wa nchi zaidi ya moja, sasa jipe moyo kwamba ni Mtanzania mwenzakoUkishakaa na Rostam Aziz akasema sio Mtz?
Tatizo mnapenda bagua ndo maana mnabaguliwa
Una akili sana kongole. Shida ipo hapo sisi niwatu wakubofya kibodi tu na kulalamika mitandaoni but ukija mitaani sisi ndowakwanza kuwashobokea hususani dada zetu hawa yani wanawashobokea sana wahindiHuu unaguzi wa ndani ya nchi utaisha pale Watanzania tutakapo wacha kulalamika na tuchukue hatua