Walimu Sekondari ya Aga Khan wagoma kisa Ubaguzi wa Rangi

NJIA ZA KUUPINGA UBAGUZI
1.WAAFRIKA KUACHA KUPELEKA WATOTO WAO PALE
2. KILA MWAKA KUWE NA AJALI ZA KUUGUNGUA KWA MOTO.
 
Watu wapo nchini mwao lakini bado wanadharauliwa na kubaguliwa!!!
  1. Hii ni hatari, huenda huu ni moshi moto unaunguza ndani kwa ndani kimyakimya, kwanini tusianze kuamini kuwa hatta kwenye hospitali zao rangi nyeusi inahujumiwa kimaficho!?
  2. Nani yupo nyuma ya mpango mzima wa ubaguzi huo? Kwanini?
  3. Uchunguzi ufanyike kwenye composition ya SMT.
 
Kuna weusi wenzetu wanaonyunyizia kiwese kwenye hiki kifuu kinachofuka moshi
 
Wahindi wakisoma hii thread lazma wajifungie kwenye kota zao, Watu wamelaani hatari.
 
Kuna huyu mwingine dada yake alikuwa ananyanyaswa 👇🐒

 
Ningekua rais,ningetoa ultimatum kwa raia wa kigeni wenye uraia wa tz kuongea kiswahili kilichonyooka ndani ya miaka miwili,akishindwa aondoke,wahindi hawachanganyiki na jamii zingine,Wana dharau na roho mbaya
Mbona huku chuga kuna muhindi ni askari police.
 
Ila hawezi sema 'nguvu moja' anasema 'guvu moja'
😝pia hawawezi kutamka neno utampa mama nyumbani,wao wanasema tompa mama nyumbani.

Ila kama wangekuwa wanajiunga na jeshi hakika tungekoma kwa kipigo,kwenye rushwa sidhani kama wangechukua.
 
😝pia hawawezi kutamka neno utampa mama nyumbani,wao wanasema tompa mama nyumbani.

Ila kama wangekuwa wanajiunga na jeshi hakika tungekoma kwa kipigo,kwenye rushwa sidhani kama wangechukua.
Rushwa haibagui rangi
 
Sinaga upendo na wasio na upendo.
Yan hawa binadamu soon watajalipia lipia madhambi yao wanayotenda kwa wana wa adamu
 
Pamoja na hayo Sisi watu wenye ngozi nyeusi ni wa ajabu Sana,, tupo Kama tuna laana vile.
Ni watu wa hovyo kweli kweli kuanzia maofisa wa Ngazi za juu serikalin hadi raia wa kawaida.
Karibu nchi zote zenye zilizojaa watu wenye ngozi nyeusi hapa duniani zimejaa Mambo ya hovyo , yenye dalili za laana.

Twende mbele turudi nyuma ubaguzi dhidi ya MTU mweusi hautakaa ukaisha mpaka pale MTU mweusi abadilike awe mtu wa maana.

Watu wa hovyo NI rahisi kutendewa Mambo ya hovyo.

Credit to Chika Onyeani " The capitalist nigger"
 
Thank you very much for making my day! Wewe umegusa chanzo hasa cha tatizo! Mengine yote ni bla bla blah tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…