Walimu Sekondari ya Aga Khan wagoma kisa Ubaguzi wa Rangi

Walimu Sekondari ya Aga Khan wagoma kisa Ubaguzi wa Rangi

Na unaweza kuta wanaofanya haya ni wahindi weusi,

Kuna wengine huwa wanawaleta kuwa walimu unakuta hata kiingereza kinawasumbua
 
Waafrika ni watu pekee ambao wanalia kubaguliwa na kila mtu hata kwenye nchi yao, once again takwimu zinasema Wahindi Tanzania ni <200 000 au laki 2 lkn wanamiliki > 85% ya Uchumi wa Tanzania.
Kuna kitu hakipo sawa hapo, kwa hali ya kawaida Muhindi ndiye aliyepaswa kulalamika kubaguliwa Tanzania na siyo kinyume chake.

Kuna watu wanamtetea Rostam wanasema ni mwenzao lkn yeye Rostamu hawaoni hivyo!
Rostam Sio Muhindi na Nafkiri ulimaanisha Watanzania wenye Asili ya Asia. Kina Bakhresa, GSM, Oil Com, Turk, Rostam na wengine wengi si Wahindi.
 
Wahindi ndivyo walivyo NCHI mzima na kibaya zaidi, utateseka kisaikolojia tu na hutakuwa na Msingi wowote wa hoja za kisheria wa kusimamia.

Kitakachokuweka hapo kwenye Ajira Ni njaa Kali na Hakuna kitu utakacho badili.

Hakuna shule, kampuni au taasisi za Kihindi au kiislam zikakosa ubaguzi.

Ubaguzi kwao Ni SUNNA.
Aisee umekuwa uisilamu Tena?
 
Hao wengi sio wageni ni watznia wenye asiri ya kihindi, hiyo issue inaweza kutatuliwa na CWT, au ukaguzi au uthibiti ubora mashuleni lakini nacho jua hamna mtu anae toa rushwa kubwa kama Mhindi, hapa tunapo ongea mkrugenzi wa tasisi za aghakan taifa atakua tayari kashapanga ratiba ya kuonana na waziri wa elimu tayari kumueleza hari halisi.
Wanakuwa Si wahindi Watanzania ni Wahindi wanaokuja. Na Hili si Suala la Kampuni za Kihindi tu Hata Za Wabongo wanawaajiri. Makampuni yote Makubwa wapo wa Kutosha.
 
Tanzania hii hii Mtanzania akipita maeneo ya Uhindini huko anadharaulika wengine wanaonekana wezi kwenye Nchi yao haya mambo inatakiwa yakemewe kwa nguvu zote huo ujinga haupo sehemu zingine...
 
Hiyo aslimia 98 Wabantu umeipata wapi? Mikoa wanakopatikana wasiyo Wabantu kwa wingi sana ni sita na kati ya hiyo Mikoa mitatu ipo top ten ya mikoa yenye idadi kubwa ya Watu Tanzania, kwa hiyo takwimu zako ni za kibaguzi. Ndiyo maana nikakwambia ubaguzi haupingwi kwa ubaguzi, si unaona sasa umeingia sasa kwenye Ubantu dhidi ya wengine, kwa hiyo kwako Maasai mweusi si mwenzako;

1. Arusha kuna Nilotes na cushites ( Masai, Datoga, Sonjo, Iraqwi nk)
2. Kilimanjaro kuna nilotes Masai
4. Manyara kuna nilotes na cushites (Iraqwi, Fyomi, Maasai, Barbaigi, Hazabe, Sonjo, Gorowa nk)
5. Dodoma kuna cushites, khoisan (Burungi, Sandawe)
6. Mara kuna Nilotes (Luo)

Swala siyo namba ya Mikoa bali ni idadi ya watu kwenye hiyo Mikoa isitoshe kwangu mimi Cushites ni wenzetu ni Waafrika weusi kama sisi ni asili ya Bara hili hili la Afrika hivyo ni sehemu yetu hiyo ya Wabantu au sijui nilo ililetwa na Wazungu kutugawana lkn Mjaluo ni mwenzetu kama alivyo Mkikuyu Mmsai au Myao na Mnyakyusa.

Hapa naongelea minority kutoka Asia ambao siyo sehemu yetu na wanamiliki 3/4 ya Uchumi wetu, ist’s just not right!
 
Dawa ni kuwanyima hao wageni vibali vya kufanya kazi..Sharti inapaswa kuwa 80% ya staff wawe wazawa kama hawataki wafunge shule, shule itaifishwe na serikali mambo yaende...pumbav
Sidhani kama Hili litasaidia Kitu, Kama Nchi unahitaji wataalam.

Cha muhimu ni kuweka kodi kubwa kwa Wageni wanaokuja na Hio Hela itumike kuendeleza wazawa.

Kodi kubwa itasaidia kuzuia kampuni kufikiria mara mbili kuajiri wageni wanaofanya kazi ambazo wazawa wanaziweza. Ila haitawazuia kuleta wageni wenye kitu cha ziada.

Then kodi inaweza Tumika kuwawezesha ambao kazi zao zinachukuliwa kama Kuimarisho Sido, Veta etc.
 
Solution ni kuwaachia shule yao na kufanya mishe nyingine.
Hizi ajira za watu binafsi zina ujinga mwingi sana.
Kuwaachia ili wajitawale..chamsingi nikuwabana tu mpaka wanyooke hawa washenzi..ngozi nyeuspe sio ndugu zetu..zaidi wapo afrika tena kusini mwa jangwa la sahara they don't belonge here..wakitaka ubaguzi wakafanyie huko makwao.

Hawa nikuanza kuwafinya tu serikali haiwezi wafanya mana wote wapo kwenye payroll zao.

#MaendeleoHayanaChama

#MaendeleoHayanaChama
 
Ukitaka kujua wa Tz wenyewe nao wana shida usiende mbali nenda SA tu ndo utajua wa Tz siyo watu wa kuwaamini, mtu unampa kazi hataki kujituma anawaza ni jinsi gan akuibie au kukuhujumu tunapenda shortcut na kupenda kufanyiwa fair
Kuna uzi uliletwa humu jamaa anaripoti mtu anaiba mafuta kwenye fuso, acha wamseme vibaya
 
Sidhani kama Hili litasaidia Kitu, Kama Nchi unahitaji wataalam.

Cha muhimu ni kuweka kodi kubwa kwa Wageni wanaokuja na Hio Hela itumike kuendeleza wazawa.

Kodi kubwa itasaidia kuzuia kampuni kufikiria mara mbili kuajiri wageni wanaofanya kazi ambazo wazawa wanaziweza. Ila haitawazuia kuleta wageni wenye kitu cha ziada.

Then kodi inaweza Tumika kuwawezesha ambao kazi zao zinachukuliwa kama Kuimarisho Sido, Veta etc.
Rushwa baba, Rushwa, hayo ya kodi kubwa ya vibali tayari yapo, kibali cha ukurugenzi kinaenda hadi 100mil kwa mwaka, ila rushwa tu.., uhamiaji wote ni matajiri sababu ya rushwa.
 
Wahindi walianza kuwabagua baba na mama zetu kiwanda cha karatasi mgololo... waafrica wakagoma... wahindi wakasemelea kwa "Ben" RIP.... waafrica wakapondwa vilungu... baadhi yao Mauti na ugonjwa wa kudumu.... nchi hiii.... nyerere hakupenda nchi ya hivi walai tena ... muulizeni yule mzungu aliyesema serikali yooooooote ipo mfukoni mwangu...
 
Nenda kitengo chochote cha SSB / Azam, utaelewa anachozungumzia
Nyie jamaa munachekesha sana, unafikiri Bakhresa Ameendelea kwa sababu Ya Kuendekeza Ubaguzi? Jamaa Amejaza Proffessional sehemu Zote.

Ingekuwa Ubaguzi unaendeleza basi Kila mtu angekuwa Bilionea.

Unaweza ukakiweka hapa Hadharani Kitengo cha Bakhresa cha Kibaguzi?
 
Rushwa baba, Rushwa, hayo ya kodi kubwa ya vibali tayari yapo, kibali cha ukurugenzi kinaemda hadi 100mil kwa mwaka, ila rushwa tu, uhamiaji wote ni matajiri sababu ya rushwa.
Sababu Sheria hazipo Wazi ndio Maana kuna Rushwa. Weka Sheria wazi Minimum Salary ya Mgeni ni milioni 3 ama 4, uone kama Wataendelea kuandika mishahara ya Laki 4 ama 6.

Na Mshahara ukiwa mkubwa kwa lazima Automatic uta Trigger Paye Kubwa na Mapato mengine kwa Serikali.

Kaangalie Nchi za Middle East Zinavyohandle Wahindi na Wageni wengine, Wanawatumia Vizuri wanatengeneza Win to win Situation Na Nchi zao Zinaendelea Kila Kukicha.
 
Tanzania hii hii Mtanzania akipita maeneo ya Uhindini huko anadharaulika wengine wanaonekana wezi kwenye Nchi yao haya mambo inatakiwa yakemewe kwa nguvu zote huo ujinga haupo sehemu zingine...
Inferiority complex at its highest level!
 
Tanzania hii hii Mtanzania akipita maeneo ya Uhindini huko anadharaulika wengine wanaonekana wezi kwenye Nchi yao haya mambo inatakiwa yakemewe kwa nguvu zote huo ujinga haupo sehemu zingine...
Uhindini ni wapi mkuu. Na mm nipite nione ulichoandika ni fact au cock and bull story.
 
Back
Top Bottom