Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rostam Sio Muhindi na Nafkiri ulimaanisha Watanzania wenye Asili ya Asia. Kina Bakhresa, GSM, Oil Com, Turk, Rostam na wengine wengi si Wahindi.Waafrika ni watu pekee ambao wanalia kubaguliwa na kila mtu hata kwenye nchi yao, once again takwimu zinasema Wahindi Tanzania ni <200 000 au laki 2 lkn wanamiliki > 85% ya Uchumi wa Tanzania.
Kuna kitu hakipo sawa hapo, kwa hali ya kawaida Muhindi ndiye aliyepaswa kulalamika kubaguliwa Tanzania na siyo kinyume chake.
Kuna watu wanamtetea Rostam wanasema ni mwenzao lkn yeye Rostamu hawaoni hivyo!
Aisee umekuwa uisilamu Tena?Wahindi ndivyo walivyo NCHI mzima na kibaya zaidi, utateseka kisaikolojia tu na hutakuwa na Msingi wowote wa hoja za kisheria wa kusimamia.
Kitakachokuweka hapo kwenye Ajira Ni njaa Kali na Hakuna kitu utakacho badili.
Hakuna shule, kampuni au taasisi za Kihindi au kiislam zikakosa ubaguzi.
Ubaguzi kwao Ni SUNNA.
Wanakuwa Si wahindi Watanzania ni Wahindi wanaokuja. Na Hili si Suala la Kampuni za Kihindi tu Hata Za Wabongo wanawaajiri. Makampuni yote Makubwa wapo wa Kutosha.Hao wengi sio wageni ni watznia wenye asiri ya kihindi, hiyo issue inaweza kutatuliwa na CWT, au ukaguzi au uthibiti ubora mashuleni lakini nacho jua hamna mtu anae toa rushwa kubwa kama Mhindi, hapa tunapo ongea mkrugenzi wa tasisi za aghakan taifa atakua tayari kashapanga ratiba ya kuonana na waziri wa elimu tayari kumueleza hari halisi.
Rostam Sio Muhindi na Nafkiri ulimaanisha Watanzania wenye Asili ya Asia. Kina Bakhresa, GSM, Oil Com, Turk, Rostam na wengine wengi si Wahindi.
Hiyo aslimia 98 Wabantu umeipata wapi? Mikoa wanakopatikana wasiyo Wabantu kwa wingi sana ni sita na kati ya hiyo Mikoa mitatu ipo top ten ya mikoa yenye idadi kubwa ya Watu Tanzania, kwa hiyo takwimu zako ni za kibaguzi. Ndiyo maana nikakwambia ubaguzi haupingwi kwa ubaguzi, si unaona sasa umeingia sasa kwenye Ubantu dhidi ya wengine, kwa hiyo kwako Maasai mweusi si mwenzako;
1. Arusha kuna Nilotes na cushites ( Masai, Datoga, Sonjo, Iraqwi nk)
2. Kilimanjaro kuna nilotes Masai
4. Manyara kuna nilotes na cushites (Iraqwi, Fyomi, Maasai, Barbaigi, Hazabe, Sonjo, Gorowa nk)
5. Dodoma kuna cushites, khoisan (Burungi, Sandawe)
6. Mara kuna Nilotes (Luo)
Sidhani kama Hili litasaidia Kitu, Kama Nchi unahitaji wataalam.Dawa ni kuwanyima hao wageni vibali vya kufanya kazi..Sharti inapaswa kuwa 80% ya staff wawe wazawa kama hawataki wafunge shule, shule itaifishwe na serikali mambo yaende...pumbav
Kuwaachia ili wajitawale..chamsingi nikuwabana tu mpaka wanyooke hawa washenzi..ngozi nyeuspe sio ndugu zetu..zaidi wapo afrika tena kusini mwa jangwa la sahara they don't belonge here..wakitaka ubaguzi wakafanyie huko makwao.Solution ni kuwaachia shule yao na kufanya mishe nyingine.
Hizi ajira za watu binafsi zina ujinga mwingi sana.
Tusubirie sensaHizo ni data za kuchemsha, takwimu haziko hivyo
Kuna uzi uliletwa humu jamaa anaripoti mtu anaiba mafuta kwenye fuso, acha wamseme vibayaUkitaka kujua wa Tz wenyewe nao wana shida usiende mbali nenda SA tu ndo utajua wa Tz siyo watu wa kuwaamini, mtu unampa kazi hataki kujituma anawaza ni jinsi gan akuibie au kukuhujumu tunapenda shortcut na kupenda kufanyiwa fair
Nenda kitengo chochote cha SSB / Azam, utaelewa anachozungumziaAisee umekuwa uisilamu Tena?
Rushwa baba, Rushwa, hayo ya kodi kubwa ya vibali tayari yapo, kibali cha ukurugenzi kinaenda hadi 100mil kwa mwaka, ila rushwa tu.., uhamiaji wote ni matajiri sababu ya rushwa.Sidhani kama Hili litasaidia Kitu, Kama Nchi unahitaji wataalam.
Cha muhimu ni kuweka kodi kubwa kwa Wageni wanaokuja na Hio Hela itumike kuendeleza wazawa.
Kodi kubwa itasaidia kuzuia kampuni kufikiria mara mbili kuajiri wageni wanaofanya kazi ambazo wazawa wanaziweza. Ila haitawazuia kuleta wageni wenye kitu cha ziada.
Then kodi inaweza Tumika kuwawezesha ambao kazi zao zinachukuliwa kama Kuimarisho Sido, Veta etc.
Nyie jamaa munachekesha sana, unafikiri Bakhresa Ameendelea kwa sababu Ya Kuendekeza Ubaguzi? Jamaa Amejaza Proffessional sehemu Zote.Nenda kitengo chochote cha SSB / Azam, utaelewa anachozungumzia
Sababu Sheria hazipo Wazi ndio Maana kuna Rushwa. Weka Sheria wazi Minimum Salary ya Mgeni ni milioni 3 ama 4, uone kama Wataendelea kuandika mishahara ya Laki 4 ama 6.Rushwa baba, Rushwa, hayo ya kodi kubwa ya vibali tayari yapo, kibali cha ukurugenzi kinaemda hadi 100mil kwa mwaka, ila rushwa tu, uhamiaji wote ni matajiri sababu ya rushwa.
Inferiority complex at its highest level!Tanzania hii hii Mtanzania akipita maeneo ya Uhindini huko anadharaulika wengine wanaonekana wezi kwenye Nchi yao haya mambo inatakiwa yakemewe kwa nguvu zote huo ujinga haupo sehemu zingine...
Uhindini ni wapi mkuu. Na mm nipite nione ulichoandika ni fact au cock and bull story.Tanzania hii hii Mtanzania akipita maeneo ya Uhindini huko anadharaulika wengine wanaonekana wezi kwenye Nchi yao haya mambo inatakiwa yakemewe kwa nguvu zote huo ujinga haupo sehemu zingine...