Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah...😂Nadhan anamaanisha Jiwe
Mzee wa magabachori au nani?Tena hiyo black empowerment ndiyo balaa zaidi. Watatajirika 'weusi' wenzetu wachache na dinner wanakutana na hao weupe kupiga stori (kwa sababu ndiyo level yao).
Hapa Tanzania alikuwepo mmoja mpigania uzawa na Mzee wetu marehemu. Kuna wakati alipigapiga sana kelele, Rais Mwinyi kipindi hicho akampa kiwanja hapo ilipo Serena Hotel, baada ya muda akawauzia haohao aliokuwa akiwalaumu!
Hiyo aslimia 98 Wabantu umeipata wapi? Mikoa wanakopatikana wasiyo Wabantu kwa wingi sana ni sita na kati ya hiyo Mikoa mitatu ipo top ten ya mikoa yenye idadi kubwa ya Watu Tanzania, kwa hiyo takwimu zako ni za kibaguzi. Ndiyo maana nikakwambia ubaguzi haupingwi kwa ubaguzi, si unaona sasa umeingia sasa kwenye Ubantu dhidi ya wengine, kwa hiyo kwako Maasai mweusi si mwenzako;Watanzania >98% ni Wabantu, hivyo ubaguzi kwangu mimi ni upendeleo wa Makusudi kwa majority, kwa maana nyingine Uchumi na fursa hapa Tanzania ni lazima ziende kwa Watanzania wenye asili ya hapa ambao ndio wengi, sisi weusi ndio tumiliki njia kuu za Kiuchumi na minority kama Waarabu, Wahindi, Wazungu, Wachina na wengineo wasio asili ya Afrika wawe chini yetu na hilo linawezekana tu kama kukiwa na hatua za makusudi kabisa kutoa upendeleo kwa watu wetu kwenye kila kitu kuanzia mikopo benki, ajira, uongozi mpaka kwenye Sanaa na Michezo timu zetu zimilikiwe na sisi na siyo Waasia au Waarabu kama ilivyo leo hii, huo ndio ubaguzi ninaouongelea.
Na Nchi zote zilizoendelea Dunia zimefanya hivyo, unafikiri kwa nini AK kuna Black empowerment Programm iliyoanzishwa na Serikali ya Thabo Mbeki ?
Hapana, Babu yetu marehemu, tulimzika MachameMzee wa magabachori au nani?
Hapana, ni Mr. D’SouzaUlisoma wakati wa Mr thind au
Ova
Ni shule tofauti! Ila zote zinamilikiwa na jamii ya wahindiKuuliza SIO ujinga Shaban Robert na Aga Khan mzizima ni SHULE mbili tofauti au moja?
Msaada
Anaitwa nani? Maana kama alikuwa mpinzani hadi Mwinyi akamtambua basi atakuwa anafahamika kitaifaHapana, Babu yetu marehemu, tulimzika Machame
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sawa wataacha wamekusikia
Acha jaziba, pumua kwanza uandike vizuri huenda una jambo la msingi tunataka kujua kilichokusibuNafurai sana mbaguliwe Tena muulize shenzi kabisa siwezi tetesi watu weusi ni kuwabagua tu hata kama mm ni mweusi Tena Mtanzania napenda mkibaguliwa mukome Tena muuliwe kabisa
Maana ni washamba wenyewe kwa wenyewe kwa ukabila na udini ndo wenyewe ,baadhi ya mikoa wanajiona wanajua sana maendeleo zero kelele eti elimu nataka sana mbaguliwe Ili mujue machungu ya kubagua wenzenu kweny ajira kwa kuleta ukanda na udini
Kwani Katambi yeye si mkenyaWaziri Petrobasi Katabi hii ndiyo kazi yake. Tunamuomba alione hili kama kipaumbele
Kwa hiyo wanakuja tuu em kuwa serious bhana kwenye issue sensitive Kama hii Asante kwa kunielewaNyie mnaobaguliwa njooni huku kayumba muwajaze taaluma wanyonge wenzenu
Kweli namaanisha mimi nikibaguliwa na mzungu sijui muhindi ,mwarabu au mchina naona SAWA ila tu maana sio jamii yangu na Wala haitotokea mm kuwa kama wao maana mi mweusiAcha jaziba, pumua kwanza uandike vizuri huenda una jambo la msingi tunataka kujua kilichokusibu
Acha uongo, hamna Doctor Khan anayefanya Aga Khan. Yuko kitengo gani? Ni specialist? Specialist wa nn?Mi siwashangai hao jamaa wanaojionaga weupe kutubaguwa ndo tabia yao,nakumbuka wakati nasoma nao kuna jamaa alikuwa anaitwa Khan jamaa hakuwai kujuwa kusoma na kuandika mpaka tunamaliza kidato cha tatu wakamuamisha shule, ila kwa sasa jamaa ni Daktari mkubwa pale Aga Khan hospital kama Doctor