Walimu tuliotoboa kimaisha tujuane

Walimu tuliotoboa kimaisha tujuane

Aisee
Screenshot_2023-07-22-16-57-10-998_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
Screenshot_2023-07-22-16-57-38-001_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
 
Watanzania wengi wana akili duni, na huuu uzi unathibitisha ukosefu wa akili za wtz.
Kwa hio mwalimu hawezi kuwa tajiri?
Jamaa mmoja mwalimu alienipa connection ya kilimo cha miti 2014 tayari alisha vuna miti na anamiliki gari, duka na nyumba za kisasa.
Anamiliki zaidi ya heka 100 za miti.
Hivi ukiwa mwalimu unakatazwa usifanye biashara. Kilimo, uvuvi, siasa, udalali nk.
Wengi wenu mna wivu walimu wasifanikiwe ila wanafanikiwa tena wengine wame EXCEL kweli kweli kulio nyie.
Wengine wamewatawala na kuwaburuza vibaýa mno, eg mjomba Magu, mwingine Majaliwa anawahenyesha kila kukicha.
Mnamjadili mwalimu ktk muktadha gani ?
Wenye pesa wala hawanaga dharau, wenye elimu huwaheshimu wasionazo wenzangu na mimi pangu pakavu ndio wajuaji hawajulikani hata ngazi ya kata.
 
🤣🤣🤣🤣 maake hapo kwanza ncheke. Nyumba 2 za kupanga Area D zinakuingizia kiasi gani kwa mwaka ndugu?! Tuanzie hapo. Other wise twambie vitegauchumi vinavyofanya uwe na >=100M kwenye account.
status ya mkopo wake na makato ya mkopo wake..kama una kazi na haikidhi mahitaji yako au ustawi wako hadi isaidiwe na nyingine....hio kazi unayofanya ni uoga unaokulazimisha kuendelea nayo...kam unahisi umetoboa acha hio kazi...
 
Hakuna aliyetoboa kimaisha harafu akawa anatumia zaidi ya masaa 45 kwa wiki zima kwenye kazi ambayo kipato chake hakifiki milion Moja kwa mwezi
Walimu wengi tu waliopanda daraja mbna wanapata salary ya 1m plus per month
 
Umeielewa comment yangu?
Vzuri sana na wapo sana tu wametoboa na bado wanafundisha
Ambacho hujajua tu ni kwamba hela haitosheki hata kama unaingiza kwa mwezi million 10 bado utahitaji tu
 
Vzuri sana na wapo sana tu wametoboa na bado wanafundisha
Ambacho hujajua tu ni kwamba hela haitosheki hata kama unaingiza kwa mwezi million 10 bado utahitaji tu
Ili uingize pesa nyingi lazima uwe busy. Huwezi acha shughuli inayokuingizia mamilioni kwa siku ukafanya kitu kinachokuingizia milion Moja kwa mwezi kwa kisingizio pesa haitoshi hata hiyo shughuli ilokufanya utoboe ni ipi kama biashara sidhani maana biashara inakura muda kuliko unavyofikiri maana ukiacha gepu unaweza Kuta manyoya
 
Ili uingize pesa nyingi lazima uwe busy. Huwezi acha shughuli inayokuingizia mamilioni kwa siku ukafanya kitu kinachokuingizia milion Moja kwa mwezi kwa kisingizio pesa haitoshi hata hiyo shughuli ilokufanya utoboe ni ipi kama biashara sidhani maana biashara inakura muda kuliko unavyofikiri maana ukiacha gepu unaweza Kuta manyoya
Hayo ni mawazo yako na namna unavyoona kwako ni sawa...
Ila kwa wengine hawaishi kulingana na attitudes zako..
Huwez jua wengine wanawaza biashara zikikataa kibarua kitawalinda pia
 
Hayo ni mawazo yako na namna unavyoona kwako ni sawa...
Ila kwa wengine hawaishi kulingana na attitudes zako..
Huwez jua wengine wanawaza biashara zikikataa kibarua kitawalinda pia
Hakuna attitude ni uhalisia tu
 
Hakuna attitude ni uhalisia tu
kila mtu ana maana yake ya MAfanikio ..wakati ww unadhani mafanikio ni kua na majumba mengi na magari
Kuna mwingine yeye kufaulisha wanafunzi wengi kwa daraja la kwanza ndio mafanikio yake ana anayafurahia zaidi
Kuna jamaa yangu mmoja anasemaga hata awe na pesa kiasi gani hata furahia kama asipofanya kazi kwenye idara nyeti
 
Ukitoboa ukiwa mwalimu ww ni
Humu wengi nimeamini bado ni wadogo kiumri au hata kama ni wakubwa kiumri bado hamjaona mambo mengi sana duniani..
Kuna mwalimu ana coaster 3 na mashamba huko tanga ila still bado anaenda shuleni na anafuaata ratba vyema
 
kila mtu ana maana yake ya MAfanikio ..wakati ww unadhani mafanikio ni kua na majumba mengi na magari
Kuna mwingine yeye kufaulisha wanafunzi wengi kwa daraja la kwanza ndio mafanikio yake ana anayafurahia zaidi
Kuna jamaa yangu mmoja anasemaga hata awe na pesa kiasi gani hata furahia kama asipofanya kazi kwenye idara nyeti
Rudi kwenye mada kuu harafu Soma uangalie mada inaongelea mleta mada kafanikiwa nini
 
Back
Top Bottom