Ya Meru ndo inatisha sanaa walipangwa na TAmisemi walimu780 ambao wamepangiwa vituo ni 709 tu wengine watapelekwa kungine kama Longido nk.. kuna baadhi ya Shule huku Meru wamepata walimu wapya mpka47,41,42 37 nk
Naona wazushi washaanza prediction kama kawaida yao hivi nyie watu hamchoki kujadili ajira za ualimu mtafikiri nyie ndo serikali nataka niwaambie waalimu walioko vyuoni msiwe na wasiwasi sababu serikali ndio inaajiri na haijasema ajira za walimu wa masomo ya sanaa zimekwisha hivyo kama ajira hazitakuwepo mtaarifiwa na mamlaka husika na sio hawa wazushi wa hapa jf.
Ajira za ualimu kwa masomo ya Sanaa mwisho!!! Walimu wamejaa huko halmashauri mpaka wanakosa pa kwenda!!!
Mimi nimepangiwa shule fulani hapa Geita nimepewa form two geog. Vpnd 3 kwa wiki yaani dk 120 tgts in
Meru wameshindwa kuwaajili walimu.Halafu kuna taarifa kuwa pana afisa utumishi mnyanyasaji sana.Hebu mliopo Meru tujulisheni kuhusu mtu huyo.
Ni mtu wa ajabu sanaa huyo jamaa dharau kwa sanaa